Category: MCHANGANYIKO
Dk Biteko amwakilisha Rais Samia mazishi ya hayati Askofu Shao
📌 Awataka Watanzania kuacha alama katika utumishi wao 📌 Asema Serikali iko pamoja na wafiwa katika kipindi hiki cha majonzi 📌 Askofu Malasusa ataka waumini kumshuhudia Kristo kwa vitendo Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu…
TAKUKURU Tandahimba yaokoa 500,000 zilizochangwa na wazazi
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania (TAKUKURU) Wilaya ya Tandahimba imekabidhi fedha TSh. 500,000/= kwa Makamu Mkuu wa Shule ya Sekondari Salama, Mwalimu Mustafa Shaibu Rashidi, iliyookolewa na TAKUKURU baada ya kupokea malalamiko kutoka kwa wananchi wa Kijiji…
Ramadhan Makala akamatwa kwa tuhuma za kusafirisha bangi gunia 13
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMediaDar es Salaam Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es salaam kwa kushirikiana na vyombo11 Agosti, 2025 wamefanikiwa kukamata Ramadhan Makala Mkazi wa Tabata kwa tuhuma za kusafirisha bangi gunia 13 zenye uzito unaokadiriwa kuwa kilogramu 239…
Taasisi ya Revive kutoa matibabu ya Physiotherapy bure Septemba 6 na 7 Bure
Na Mwandishi Wetu,Jamhuri MediaDar es Salaam Katika kuunga Mkono Jamii suala la Afya Taasisi ya Rivaivu(Revive) iliopo jijini Dar s Salaam jirani na Hospitali ya Ocean Road inatarajia kuadhimisha siku ya kimataifa ya matibabu ya Physiotherapy kutoa huduma za matibabu…
EACOP, BBN wafadhili Mafunzo ya Ufundi stadi kwa wakazi 12 wa Chongoleani
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tanga Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi Afrika Mashariki (EACOP kupitia mkandarasi wake Besix Ballast Nedam (BBN) imetoa ufadhili wa mafunzo stadi kwa wakazi 12 wa Kata ya Chongoleani panapojengwa miundombinu ya kuhifadhi na kusafirisha mafuta…
Msajili wa Hazina afanya mazungumzo na TRC, LATRA
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Mhandisi Machibya Shiwa, pamoja na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA), Bw….