Category: MCHANGANYIKO
Msiache kutenda haki, jamii salama inawategemea – Naibu Katibu Mkuu Mdemu
Na WMJJWM, Tabora Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wanawake na Makundi Maalum Felister Mdemu amewataka waratibu wa Madawati ya Jinsia maeneo ya Umma kuwajibika na kutenda haki ili kuwa na jamii salama isiyo na vitendo vya…
Dk Mwigulu: Trilioni 56.49/- kutekeleza bajeti 2025/36
Na Saidina Msangi, WF, Dodoma Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), anamewasilisha Hotuba ya Bajeti Kuu ya Serikali, ambapo ameliomba Bunge ridhaa ya kukusanya na kutumia jumla ya shilingi trilioni 56.49 kwa Mwaka wa Fedha 2025/26. Dkt….
Serikali yafuta VAT kwa magazeti, Balile apongeza
Waziri wa Fedha Dk Mwigulu Nchemba, ametangaza leo bungeni kuwa Serikali imeyafutia Kodi ya VAT magazeti yote yanayozalishwa nchini. Hatua hii itatoa ahueni kubwa kwani kati ya chanzo cha kifo cha magazeti imekuwa hii Kodi ya VAT. Imekuwa kila mara…
Kicheko kwa wastaafu Bajeti ya Mwaka 2025/2026 kuongeza Pensheni asilimia 150
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMediaDodoma Serikali imepanga kuongeza kiwango cha chini cha pensheni ya kila mwezi kwa wastaafu wanaolipwa moja kwa moja kutoka Hazina kwa karibu asilimia 150, kwa mujibu wa bajeti ya mwaka wa fedha 2025/26 iliyowasilishwa leo. Akiwasilisha bajeti bungeni…
Serikali kuanzisha vyanzo Vlvipya vya mapato kwa ajili ya kudhibiti UKIMWI na kuwezesha Bima ya Afya kwa Wote
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia , Dodoma Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imepanga kuanzisha vyanzo vipya vya mapato vitakavyosaidia kudhibiti maambukizi ya UKIMWI pamoja na kugharamia Bima ya Afya kwa Wote, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kujitegemea katika…