JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

DC Nyasa awataka wananchi kutambua umuhimu wa lishe bora

-Asema Nyasa bila utapiamlo, udumavu, upungufu wa damu inawezekana -Wajawazito wahimizwa kutumia madini Chuma -Atoa rai kwa Wataalam wa Afya kuzingatia Weledi,ushirikiano kupata Matokeo Na Byarugaba Innocent, Nyasa DC Mkuu wa Wilaya ya Nyasa Mhe.Peres Magiri ametoa wito kwa wananchi…

Polisi yatoa wito kwa wagombea na wafuasi kuzingatia sheria, kampeni kuanza kesho

Kesho Agosti 28,2025 kama ilivyotangazwa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), kampeni za wagombea nafasi ya Urais, Ubunge na Udiwani zitaanza rasmi. Jeshi la Polisi Tanzania, lingependa kuwajulisha wananchi na wadau wote kuwa, lipo tayari na limejiandaa vizuri…

Tanzania kunufaika na fursa lukuki kupitia ushirikiano wa Afrika na Singapore

• Miongoni mwa maeneo ya ushirikiano ni masoko ya mazao ya kilimo, elimu na mafunzo kwa vijana, nishati jadidifu, na uchumi wa kidijitali Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeshiriki hafla ya ufunguzi wa Mkutano wa Tano wa Mawaziri wa Mambo ya…

Serikali yataka Mashirika ya Umma kuiga sekta binafsi kuongeza ufanisi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Serikali imeyataka Mashirika ya Umma kujifunza kutoka kwa sekta binafsi kuhusu namna bora ya kuendesha taasisi na hivyo kuongeza ufanisi wao. Wito huo ulitolewa Agosti 26, 2025, na Naibu Waziri Mkuu, Dk. Doto Biteko wakati…

Dkt. Asha-Rose Migiro akabidhiwa Ofisi kama Katibu Mkuu wa kwanza mwanamke

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Dkt. Asha-Rose Migiro amepokelewa rasmi katika Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)akiwa Katibu Mkuu huku akimefungua ukurasa mpya katika historia yake ya uongozi kwa kuwa Katibu Mkuu mpya Mwanamke. Ikumbukwe kuwa tangu kuanzishwa kwa CCM mwaka…