JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Israel, Hamas watofautiana usitishaji wa vita Gaza

Israel na kundi la Hamas linalotawala Ukanda wa Gaza zimechukua msimamo tofauti leo kuhusiana na pendekezo la Rais Donald Trump wa Marekani la usitishaji mapigano kwa muda wa siku 60. Saa kadhaa baada ya Rais Donald Trump wa Marekani kutangaza…

93 wachukua fomu ya ubunge, wawania majimbo tisa Mkoa wa Pwani

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Jumla ya wanachama 93 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamechukua fomu za kugombea ubunge katika majimbo tisa ya Mkoa wa Pwani ambapo kati yao, wanawake ni 22 na wanaume ni 71. Katibu wa Siasa, Uenezi…

TIA yaendelea kusogeza huduma zake karibu na wananchi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam TAASISI ya Uhasibu Tanzania (TIA), imeandaa mkutano mkubwa wa kitaaluma utakaofanyika hivi karibuni mkoani Mwanza wenye lengo la kuelezea tafiti mbalimbali zilizofanywa na wataalamu wa taasisi hiyo. Kadhalika, imesema imeendelea kufungua kampasi kwenye…

Mradi wa bilioni 2.4 watatua kero ya maji Moshi, wananchi 230, 784 kunufaika

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Moshi Zaidi ya wakazi 230,784 wa kata tisa katika Manispaa ya Moshi, mkoani Kilimanjaro, wameondokana na changamoto ya upatikanaji wa maji safi na salama baada ya kukamilika kwa mradi mkubwa wa maji wa Karanga Darajani uliogharimu…

Ruhundwa alitaka Jimbo la Ngara

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Ngara Katika kile kinachoonekana kuwa kiu ya kuwatumikia Wanangara na kuifanya Ngara kuwa kubwa kwenye ramani ya dunia, Hilali Alexander Ruhundwa amejitosa kuwania nafasi ya ubunge jimbo la Ngara kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Akielezea maono…

Mhasibu Mkuu Tanga achukua fomu ya Ubunge kuwania Kilwa Kusini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kilwa Mhasibu Mkuu Mkoa wa Tanga, Ahmed Bongi amejitosa katika kinyang’anyiro cha kuwania kuteuliwa nafasi ya Ubunge Jimbo la Kilwa Kusini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Bongi ambaye alikuwa Mhasibu Mkuu Mkoa wa Lindi kabla ya…