JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

REA yapamba maonesho ya kitaifa ya teknolojia ya madini Geita

📌Yaendelea kusambaza majiko ya gesi na majiko banifu kwa bei ya ruzuku 📌Wananchi waaswa kutembelea banda la REA kupewa elimu ya miradi ya umeme kwenye vitongoji na nishati safi 📌Geita waipongeza REA kwa utekelezaji wa miradi ya nishati safi ya…

Samia: Mwitikio Mbinga unaonyesha mko tayari

Na Kulwa Karedia, JamhuriMedia- Mbinga Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amesema mwitikio wa wananchi wa Wilaya ya Mbinga unaonyesha wako tayari. “Nimevutiwa na umati mkubwa, Mbinga ina historia na mchango wa Watanzania. Amesema mchango huo,…

Samia kuwasili Ruvuma kesho kwa siku mbili

Na Mwandishi Jamhuri Medii-Songea Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan Septemba 21,2025 atawasili mkoani Ruvuma kwa ajili ya mikutano ya kampeni. Rais Samia anawasili hapa baada ya kukamilisha mikutano kama hiyo mjini Zanzibar. Taarifa zinasema Septemba…

Samia: Watanzania msikubali kuchokozeka

Na Kulwa Karedia Jamhuri Media, Pemba MGOMBEA urais Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan, amewataka wananchi kutokubali kuchokozwa. Amesema wakichokozeka watahatarisha amani ya nchi kwa sababu ya uchaguzi jambo ambalo halina tija Dk. Samia ambaye pia ni Amiri…

Chande: Kiti cha dereva hakikaliwi hata gari likijaa, twendeni na Samia

Na Mwandishi Wetu, Jamhuri Media, Pemba Mgombea ubunge Jimbo la Kojani, Hamad Chande amesema mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), amesema Samia Suluhu Hassan amewafanyia mambo makubwa yakiwamo ya ujenzi wa Uwanja wa…