JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Samia: Mwitikio Mbinga unaonyesha mko tayari

Na Kulwa Karedia, JamhuriMedia- Mbinga Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amesema mwitikio wa wananchi wa Wilaya ya Mbinga unaonyesha wako tayari. “Nimevutiwa na umati mkubwa, Mbinga ina historia na mchango wa Watanzania. Amesema mchango huo,…

Samia kuwasili Ruvuma kesho kwa siku mbili

Na Mwandishi Jamhuri Medii-Songea Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan Septemba 21,2025 atawasili mkoani Ruvuma kwa ajili ya mikutano ya kampeni. Rais Samia anawasili hapa baada ya kukamilisha mikutano kama hiyo mjini Zanzibar. Taarifa zinasema Septemba…

Samia: Watanzania msikubali kuchokozeka

Na Kulwa Karedia Jamhuri Media, Pemba MGOMBEA urais Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan, amewataka wananchi kutokubali kuchokozwa. Amesema wakichokozeka watahatarisha amani ya nchi kwa sababu ya uchaguzi jambo ambalo halina tija Dk. Samia ambaye pia ni Amiri…

Chande: Kiti cha dereva hakikaliwi hata gari likijaa, twendeni na Samia

Na Mwandishi Wetu, Jamhuri Media, Pemba Mgombea ubunge Jimbo la Kojani, Hamad Chande amesema mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), amesema Samia Suluhu Hassan amewafanyia mambo makubwa yakiwamo ya ujenzi wa Uwanja wa…

Fahad Soud ajinyakulia IST kupitia Simbanking ya CRDB

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MKAZI wa Jiji la Tanga, Fahad Soud, ameibuka mshindi wa pili wa gari jipya aina ya IST kupitia kampeni ya Benki ya CRDB inayolenga kuhamasisha matumizi ya huduma za kidijitali, hususan SimBanking. Hafla…