Category: MCHANGANYIKO
Kibunda cha bilioni 426.5 kuwanufaisha wanafunzi 135,240 awamu ya kwanza
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imeidhinisha Shilingi Billioni 426.5 awamu ya kwanza kwa ajili ya wanafunzi wanufaika 135,240 ili kugharamia masomo yao. Hayo yameelezwa na Mkurugenzi Mtendaji wa HESLB, Dkt. Bill Kiwia, Oktoba 24, 2025,…
Bei elekezi ya madini ya vito kuchochea ukuaji uchumi – CPA Kasiki
Tume ya Madini kupitia Kurugenzi ya Ukaguzi na Biashara ya Madini imekutana na wadau wa sekta ya madini wakiwemo wachimbaji, wanunuzi na wathaminishaji wa madini, kwa lengo la kupanga bei elekezi za madini ya vito, hatua inayolenga kuimarisha uwiano wa…
Viongozi wa dini Kanda ya Magharibi waazimia kudumisha amani kuelekea Uchaguzi Mkuu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tabora VIONGOZI wa dini katika mikoa ya Kanda ya Magharibi wameazimia kuendelea kudumisha amani, upendo na mshikamano wa kitaifa kuelekea Uchaguzi Mkuu ujao uliopangwa kufanyika oktoba 29, 2025. Kadhalika viongozi hao kutoka mikoa ya Tabora, Kigoma…
Samia: Vijana tulizeni munkari, msidanganywe
Na Kulwa Karedia-Dar es Salaam Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan amewaasa vijana wa Tanzania kutokubali kudanganywa na kuwataka washushe munkari.Rais Samia ametoa kauli hiyo wakati akihutubia mkutano wa kampeni za uchaguzi mkuu katika majimbo…





