Category: MCHANGANYIKO
CCM London Diaspora watembelea Baraza la Wawakilishi Zanzibar
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar WAJUMBE Chama Cha Mapinduzi CCM Tawi la London Diaspora la Nchini Uingereza wametembelea Baraza la Wawakilishi Zanzibar na kushuhudia shughuli za Baraza hilo ikiwemo uwasilishwaji wa miswada mbali mbali. Wajumbe hao, wakiwa chini ya uongozi…
Naibu Waziri Khamis akagua mabanda ya maonesho ya mazingira
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis Hamza Khamis amehimiza wananchi kuendelea kuunga mkono Serikali katika kutumia nishati safi ya kupikia ambayo ni rafiki kwa mazingira. Ametoa kauli hiyo wakati akitembelea na kukagua mabanda ya…
WiNTz yazinduliwa kuongeza ushiriki wa wanawake katika Nyuklia
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam LICHA ya mafanikio makubwa yaliyopatikana katika sayansi na teknolojia ya nyuklia duniani, bado kuna mwanya mkubwa wa ushiriki wa wanawake katika sekta hii muhimu. Changamoto kama mitazamo hasi ya kijamii, idadi ndogo ya…
Mbegu za miti ya asili zavutia wananchi Banda la TFS Maonesho ya Mazingira Dodoma
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Wakazi wa Jiji la Dodoma na wageni kutoka maeneo mbalimbali wameonyesha kuvutiwa na mbegu bora za miti ya asili zinazozalishwa na Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), wakieleza kuwa elimu wanayoipata kutoka banda la TFS…
Serikali yatoa bil. 26.9 kujenga skimu ya umwagiliaji Mwamapuli
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tabora Serikali kupitia Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC), imeingia mkataba na mkandarasi mzawa kampuni ya Samota limited kujenga mradi wa skimu ya umwagiliaji Mwamapuli, katika kijiji cha Mwanzugi wilayani Igunga mkoani Tabora, mradi ambao utagharimu…





