Category: MCHANGANYIKO
Mitaa 58 Halmashauri Mji wa Tarime imefikiwa na umeme – Kapinga
📌 Ni kati ya mitaa 81 ya Halmashauri ya Mji wa Tarime 📌 Asema kazi ya kupeleka umeme vitongojini ni endelevu Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema Serikali imefikisha umeme kwenye mitaa 58 ya…
Watanzania watakiwa kudumisha muungano
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis Hamza Khamis amewataka baadhi ya wananchi wanaopotosha kuhusu Muungano kuacha vitendo na badala yake waulinde na kuuenzi kwani umeleta manufaa makubwa. Ametoa wito…
Waziri Chana aunadi utalii nchini Japan, awaita wawekezaji
Na Mwandishi Wetu, Japan Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Dkt. Pindi Chana (Mb) amenadi vivutio vya utalii vya nchini Tanzania huku akikaribisha wawekezaji kutoka nchini Japan kuwekeza Tanzania. Waziri Chana amesema hayo leo Mei 26, 2025 katika Kongamano la…
Mbunge Regina Ndege atoa majiko 100 kwa baba na mama lishe Babati
Na Mary Margwe, JamhuriMedia, Babati Mbunge wa Viti Maalum wa Mkoa wa Manyara Regina Ndege amekabidhi majiko 100 yenye thamani ya sh.mil.5,500,000 Kwa akina mama na baba Lishe wa Kata ya Riroda na Magugu wilayani Babati Mkoani humo ili kuendelea…
Ndege za ATCL zazidi kupasua anga ruti za Afrika
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es SalaM KAMPUNI ya Ndege ya (ATCL), imeendelea kutanua wigo wa safari zake na sasa iko katika mchakato wa kutafuta vibali vya kuanza safari za kutua mji wa Lagos Nigeria, Accra Ghana, Ivory Coast na…
Askofu Msaidizi Tabora awekwa Wakfu, Waziri Lukuvi amwakilisha Rais Samia
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tabora Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Mhe. William Lukuvi, amemuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika ibada maalum ya kuwekwa wakfu kwa Askofu…





