Category: MCHANGANYIKO
Wabunge wataka Mipango ya Maendeleo iakisi hali halisi ya maisha ya wananchi wa chini
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wametoa wito kwa Serikali kuhakikisha kuwa mipango ya maendeleo na bajeti za taifa zinazingatia hali halisi ya maisha ya wananchi na muktadha wa ndani badala ya kufuata mifumo…
RC Mtanda awataka wakandarasi REA kuharakisha utekelezaji miradi ya umeme jua visiwani
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda, amewataka wakandarasi wanaotekeleza mradi wa usambazaji wa mifumo midogo ya umeme jua katika maeneo ya visiwani kuhakikisha wanatumia muda vizuri na kukamilisha kazi kwa wakati, ili kuwaondolea wananchi wa maeneo hayo adha ya…
Kampuni yaandaa maonyesho ya watoto kuonyesha vipaji vyao
Na Mwandishi Wetu, Jamhurimedia, Dar es Salaam KAMPUNI ya Maestro Africa Solutions Ltd, kwa kushirikiana na Peak Performance Company Ltd na Rehoboth Organization na The Ark Africa wameandaa Maonyesho Maalum ya Baby Market yatakayofanyika tarehe 28 mwezi huu katika Viwanja…
Kempeni ya Pika Smart inayohamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia yazinduliwa
📌 Kamishna Luoga asisitiza matumizi ya umeme katika Nishati Safi ya Kupikia Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Darces Salaam Kamishina wa Umeme na Nishati Jadidifu, Mhandisi Innocent Luoga amezindua kampeni ya kitaifa ya kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia ya…
Wakandarasi wahamasishwa uadilifu
KIONGOZI wa mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa, Ismail Ali ussi amewataka wakandarasi waliopewa kazi za miradi ya kimkakati ya maendeleo kuitekeleza kwa viwango vyenye ubora hatua ambayo inalenga kujibu changamoto za wananchi. Kauli hiyo ameitoa wakati wa uwekaji wa Jiwe…
Uchaguzi Mkuu kugharamiwa na fedha za ndani
Serikali imesema Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani mwaka 2025 utagharamiwa kwa fedha za ndani. Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba, alipokuwa akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya Serikali kwa mwaka 2025/26 bungeni leo…





