JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Rais Samia : Vijana msikubali kushawishiwa kuichoma nchi yenu

๐™‘๐™ž๐™Ÿ๐™–๐™ฃ๐™– ๐™ฅ๐™š๐™ฃ๐™™๐™š๐™ฃ๐™ž ๐™๐™–๐™ž๐™›๐™– ๐™ก๐™š๐™ฃ๐™ช, l๐™ž๐™ฃ๐™™๐™š๐™ฃ๐™ž ๐™ฃ๐™– ku๐™™๐™ช๐™ข๐™ž๐™จ๐™๐™– a๐™ข๐™–๐™ฃ๐™ž ๐™ฎ๐™– ๐™‰ln๐™˜๐™๐™ž ๐™ฎ๐™š๐™ฉ๐™ช. Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. ๐—ฆ๐—ฎ๐—บ๐—ถ๐—ฎ ๐—ฆ๐˜‚๐—น๐˜‚๐—ต๐˜‚ ๐—›๐—ฎ๐˜€๐˜€๐—ฎ๐—ป amewasihi Vijana kutokubali kushikiwa akili na kushawishiwa katika kuichoma na…

๐—ฆerikali chini ya Rais Dk Samia kuanzisha wizara kamili ya vijana

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. ๐—ฆ๐—ฎ๐—บ๐—ถ๐—ฎ ๐—ฆ๐˜‚๐—น๐˜‚๐—ต๐˜‚ ๐—›๐—ฎ๐˜€๐˜€๐—ฎ๐—ป amesema Serikali yake anayoiongoza ya awamu ya sita imedhamiria kuanzisha Wizara kamili itakayoshughulikia masuala yote yanayohusiana na Vijana. Akizungumza wakati akihutubia…

Rais Samia afungua Bunge la 13, aweka mkakati wa mapinduzi ya kilimo, kupitia kilimo cha umwagiliaji

๐Ÿ“Dodoma, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo amefungua rasmi Bunge la 13 jijini Dodoma, akitoa dira mpya ya Maendeleo ya Taifa na vipaumbe atakavyoanza navyo kupitia sekta za uzalishaji, hususan kuongeza uwekezaji katika…

Dhahabu yenye thamani ya trilioni 8.8 yachimbwa Mara

๐Ÿ”ธMafanikio Makubwa ya Sekta ya Madini chini ya Serikali ya Awamu ya Sita Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mara MKOA wa Mara umeweka rekodi mpya katika uzalishaji wa madini baada ya kuzalisha dhahabu yenye uzito wa tani 67.41, ikiwa na thamani…

Rais Samia amtahadharisha Dk Mwigulu dhidi ya vishawishi vya marafiki wa madaraka

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amemuapisha na kumtakia kheri Waziri Mkuu mpya wa Tanzania Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, akimtaka kuepuka vishawishi vya ndugu, jamaa na marafiki na badala yake ajielekeze zaidi…

Rais Samia atoa maelekezo kwa Mwigulu, ataka kasi mpya

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amemuapisha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika hafla iliyofanyika Novemba 14, 2025, Ikulu Chamwino, Dodoma. โ€ŽAkitoa maelekezo baada ya kumwapisha,…