JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Mgombea ubunge ACT Kawe awafariji waathirika wa moto soko la Kawe

Na Mwandishi Wetu Mgombea ubunge wa Jimbo la Kawe kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Glory Tausi Shayo, ametembelea Soko la Kawe kufuatia tukio la moto mkubwa ulioteketeza bidhaa na mali za wafanyabiashara wengi wa soko hilo. Katika ziara hiyo iliyofanyika…

Jamii haina budi kuachana na mila na desturi zenye madhara

Na WMJJWM-Dodoma Serikali inaendelea na juhudi za kuchochea maendeleo katika jamii  kupitia afua mbalimbali ikiwemo  utoaji wa elimu kuhusu masuala ya mila na desturi zinazofaa na zile zisizofaa kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo. Hayo yamebainishwa na Kaimu Mkurugenzi wa Idara…

Kongomano la uchumi Jumuishi kuelekea Dira 2050 kufanyika Septemba 18 Mbeya

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbeya KIGODA Cha Uprofesa cha Mwalimu J.K. Nyerere katika Taaluma za Umajumui wa Afrika (Chuo Kikuu cha Dar es Salaam) kwa kushirikiana na Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Binafsi (PPP Centre), limeandaa…

THBUB yawanoa waandishi wa habari Arusha kuelekea Uchaguzi Mkuu

Na Zulfa Mfinanga,JamhuriMedia, Arusha Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) imeendesha mafunzo maalumu kwa waandishi wa habari mkoani Arusha ikiwa ni sehemu ya mkakati wake wa kukuza na kulinda haki za binadamu pamoja na kuimarisha utawala bora…

Kawaida asema Samia, Mwinyi walitumia vizuri fedha za Covid

Na Mwandishi Wetu, Jamhuri Media, Zanzibar Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana (UVCCM), Taifa, Mohamed Ali Kawaida amesema mgombea urais wa CCM, Rais Samia Suluhu Hassan na Rais wa Zanzibar, Dk Ali Hussein Mwinyi walitumia vizuri fedha za Covid kwa kujenga…

Wanu: Samia, Mwinyi wameleta umoja, amani

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Zanzibar Mgombea ubunge Jimbo la Makunduchi, Wanu Hafidh Ameir (CCM), amesema anajivunia umoja na mshikamano wa amani na umoja uliopo. Wanu ametoa kauli hiyo leo Septamba 17,2025 alipopewa nafasi ya kusalimia maelfu ya wafuasi wa CCM katika…