JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Waziri Lukuvi :Dawa za kufubaza makali ya VVU zipo kwa asilimia 100 nchini

Na Mwandishi Wetu-Dar es Salaam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Mhe. William V. Lukuvi, amewahakikishia Watanzania kuwa dawa za kufubaza makali ya Virusi vya UKIMWI (ARVs) zinapatikana kwa asilimia 100 nchini na…

Dk Nicas aahidi kicheko cha maendeleo Manispaa Mji Kibaha

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Diwani Mteule wa Kata ya Tumbi, Dkt. Mawazo Nicas, ameshinda nafasi ya Ustahiki Meya wa Manispaa ya Mji Kibaha kupitia kura za maoni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) baada ya kupata kura 15 kati ya…

Namtumbo kuanza kulima zao la kakao msimu wa kilimo

Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Katiba na Sheria ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Namtumbo mkoani Ruvuma Dkt Juma Homera amesema,katika msimu wa kilimo 2025/2025 wakulima wataanza kulima zao la Kakao kama mkakati wa Wilaya hiyo kuwa na mazao mengi…

Dk Mwigulu akagua uharibifu wa kituo cha Polisi Kikatiti

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Novemba 30, 2025, amekagua Kituo cha Polisi Kikatiti ambacho kiliharibiwa kutokana na vurugu zilizotokea Oktoba 29, 2025, mkoani Arusha. Akizungumza na wakazi wa eneo hilo, Mheshimiwa Dkt. Mwigulu amewataka wananchi kuwa makini dhidi ya…

Watu 607 waliokamatwa kufanya vurugu wakati wa uchaguzi mkuu waachiliwa

‎Na Mwandishi Wetu, Namtumbo WAZIRI wa Katiba na Sheria Dkt Juma Homera amesema,zaidi ya watu 607 kati ya 2,500 waliokamatwa baada ya kufanya vurugu kwenye uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba mwaka huu wameachiliwa huku wengine 1,736 wataachiliwa hivi karibuni. ‎Waziri…

Serikali yasisitiza kutozuia maiti hospitalini

Na WAF, Kigoma‎ ‎Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Florence Samizi, ameendelea kuzisitiza hospitali zote nchini kutozuia maiti kwa sababu yoyote, akisema kuwa hatua hiyo ni utekelezaji wa ahadi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan,…