Category: MCHANGANYIKO
BOT, wadau kimataifa waipongeza Benki ya CRDB mageuzi ya mfumo nkuu
BOT, Wadau Kimataifa waipongeza Benki ya CRDB Mageuzi ya Mfumo Mkuu Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam GAVANA wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT), Emmanuel Tutuba, amepongeza mageuzi ya kihistoria yaliyofanywa na Benki ya CRDB katika mfumo wake mkuu…
Makonda: Samia amefanya makubwa
Na Mwandishi Wetu, Jamhuri Media, Arusha Mgombea ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Paul Makonda (CCM),amesema kazi kubwa iliyofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan imeacha matokeo chanya. Makonda ametoa kauli hiyo alipopewa nafasi ya kusamilia wananchi wa mkoa wa Arusha…
Dk Samia awasili uwanja wa Sheikh Amri Abeid Arusha
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewasili katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Arusha mkoani Arusha leo Oktoba 2, 2025, ambapo amepokelewa na mapokezi makubwa…
Awashauri watumishi kufanyakazi kwa ufanisi na kuwa wabunifu
Na OWM KVAU Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Bi. Mary Maganga amewataka Watumishi wa Ofisi hiyo kuendelea kufanya kazi kwa ufanisi ili kuongeza tija katika utoaji huduma kwa wananchi. Bi. Mary amebainisha hayo…
Waziri Kombo awasili Zimbabwe kushiriki mkutano wa 22 wa Mawaziri wa Mambo ya Nje Afrika na NORDIC
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo, amewasili jijini Victoria Falls, Zimbabwe, kushiriki Mkutano wa 22 wa Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Afrika na Nordic, unaofanyika kuanzia tarehe 2 hadi 3…





