Category: MCHANGANYIKO
Rais Dk Samia afungua mradi wa maji Lamadi Simiyu
Busega wakati akihitimisha ziara yake ya kikazi mkoani Simiyu tarehe 19 Juni, 2025.
Rais Samia azindua mradi wa maji wenye thamani ya bilioni 12 Busega Simiyu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Simiyu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amezindua rasmi Mradi wa Maji wenye thamani ya zaidi ya Shilingi bilioni 12 katika Wilaya ya Busega, mkoani Simiyu. Mradi wa Lamadi ni…
Dk Samia aweka historia Simiyu,aandika nyingine Mwanza leo
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ameacha alama kubwa za kihistoria mkoani Simiyu anapohitimisha ziara yake leo, kabla ya kuelekea Mwanza kuandika historia nyingine kwa kufungua rasmi daraja…
MOI yafungua milango ya tiba kwa wananchi wa Kanda ya Kati
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma Wakati changamoto ya upatikanaji wa huduma za kibingwa ikiendelea kuwakabili baadhi ya Wananchi wa mikoa ya pembezoni, Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI) imechukua hatua ya kuwafuata wananchi huko waliko kupitia huduma za kliniki tembezi,…
Jenerali Mabele: Mafunzo JKT yanalenga kuwajenga vijana kuwa wakakamavu na wazalendo
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Rajabu Mabele amewatoa hofu vijana wanaojiunga na mafunzo ya jeshi kuwa hakuna mateso kwani mafunzo hayo yanalenga kuwajenga kuwa wakakamavu na wazalendo kwa taifa. Mkuu huyo…





