Category: MCHANGANYIKO
Kamishna Kuji ahimiza watumishi kujiendeleza kielimu ili kuboresha ufanisi katika utendaji
Na Philipo Hassan, JamhuriMedia, Arusha Kamishna wa Uhifadhi Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA), CPA Musa Nassoro Kuji, amewataka Maafisa na Askari Uhifadhi wa Uhifadhi waliopo TANAPA Makao Makuu na Kanda ya Kaskazini kujiendeleza kielimu ili kuboresha ufanisi katika…
Mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta umeleta mapinduzi ya kiuchumi kwa wananchi Tanga
📌Wananchi wampongeza Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mafanikio ya ujenzi wa Mradi, wafikia asilimia 64.2 📌 Timu ya wataalamu wa SULUHU wakutana na Uongozi wa Mkoa wa Tanga, kueleza mafanikio ya mradi…
Tanzania, IFRC wajadili kuimarisha ushirikiano katika masuala ya kibinadamu Afrika Mashariki
Na Mwandishi Wetu, Jamhuri Media, Dodoma Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki anayeshughulikia masuala ya Afrika Mashariki, Denis Londo (Mb) amelishukuru Shirikisho la Kimataifa la Vyama vya Msalaba Mwekundu na Hilali Nyekundu (IFRC) kwa mchango…
Rais Samia aendelea kuboresha miundombinu ya Jeshi la Polisi nchini
Na Jeshi la Polisi, Dodoma Kamishna wa Fedha na Lojistiki wa Jeshi la Polisi CP Liberatus Sabas, akimpitisha Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Camillus Wambura, akiwa ameambatana na Makamishna wengine kwenye maendeleo ya ujenzi wa nyumba za makazi…
Dk Mwinyi amkabidhi tuzo ya heshima ya uchaguzi Kamishna THBUB
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi, akimkabidhi tunzo ya heshima Kamishna wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB), ofisi ya Zanzibar, Mhe. Khatibu Mwinyichande aliyotunukiwa na Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC)…





