JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Wanafunzi waliopata mikopo waongezeka kwa asilimia 39.6, Serikali yatenga bilioni 787/-

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia l, Dodoma Serikali kupitia Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB), imetangaza kuongezeka kwa bajeti ya mikopo kwa vyuo vya elimu ya juu kutoka Shilingi bilioni 570 hadi bilioni 787 katika kipindi cha miaka minne,…

PUMA Energy Tanzania kupitia upya mpango mkakati wa biashara

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wawekezaji wa PUMA Energy Tanzania, ambao ni Serikali ya Tanzania na Puma Investments Limited, wamekubaliana kufanya mapitio ya mpango mkakati wa biashara wa kampuni hiyo ndani ya mwaka huu. Mpango huu mpya wa…

Museveni, mkewe waomba radhi yaliyotetokea Uganda

Rais Yoweri Museveni na mkewe wameomba msamaha katika tukio ambalo ni nadra sana na kukubali kutokea kwa makosa ya hapa na pale katika mkutano uliofanyika uwanja wa Uhuru wa Kololo, viungani mwa jijini kuu la Kampala, Uganda. Museveni na mkewe…

Mashirika yasiyo ya kiserikali yachangia maendeleo, zaidi ya Bil.561/- zakusanywa

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Zaidi ya mashirika 10,717 yasiyo ya kiserikali (NGOs) yamesajiliwa nchini hadi kufikia Aprili 2025, ikiwa ni ongezeko la mashirika 1,202 yaliyosajiliwa kati ya Julai 2024 hadi Aprili 2025. Kati ya hayo, mashirika ya kimataifa ni…

Bilioni 28/- kujenga kituo cha upandikizaji figo Tanzania

*Ni kikubwa katika Ukanda wa Jangwa la Sahala *Pia itatumika katika kutoa mafunzo kwa madaktari bingwa WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ameshuhudia utiaji saini wa hati ya makubaliano ya ujenzi wa kituo kikubwa cha kupandikiza figo pamoja na utoaji mafunzo kwa…

Mradi magonjwa ya moyo kusaidia watoto wachanga

Na Mwandishi Wetu Mradi wa kituo cha umahiri wa magonjwa ya moyo na mishipa ya damu utasaidia kuwapa huduma watoto wachanga wenye changamoto ya upumuaji. Mradi huo unatekelezwa na Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili ( MUHAS )…