JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

TRA yavipongeza vyombo vya habari kuhamasisha wafanyabiashara kulipa kodi kwa hiari

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imevipongeza vyombo vya Habari na Waandishi wa Habari nchini, kwa kuhamasisha wananchi hasa wafanyabiashara kulipa kodi kwa hiari,kujua umuhimu wa kudai risti wanaponunua bidhaa na wafanyabishara kutoa risti wanapouza bidhaa….

Dk Carreen Rose Rwakatale ahamasisha ujenzi nyumba ya Katibu wa Wazazi CCM

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Ifakara MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wazazi (CCM) Mkoa wa Morogoro Dk. Careen-Rose Rwakatale amewataka viongozi wa (CCM) Wilaya mbalimbali mkoani hapa kuhakikisha wanajitoa katika ujenzi wa wa chama hawadhalilishwi kwa kufukuzwa kwenye nyumba za kupanga. Dk….

Mradi wa kufua umeme wa JNHPP wakamilika rasmi – Biteko

Ā šŸ“ŒAsema ni ndoto ya Watanzania,awataka wategemee umeme wa uhakikaĀ šŸ“ŒAsisitiza kazi iliyobaki ni kuimarisha miundombinu ya kuwafikishia wananchi umemeĀ šŸ“ŒRais Dkt. Samia Suluhu Hassan na Rais wa Misri kuuzindua rasmiĀ Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka Watanzania…

Uongozi mpya TEF 2025 – 2029

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Songea Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), limekamilisha safu ya uongozi wa Kamati ya Utendaji (KUT), baada ya kupatikana mwenyekiti, Makamu mwenyekiti pamoja na wajumbe saba wa kamati tendaji. Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi, Frank Sanga, alisema…

Wizara ya Afya yajivunia mafanikio Ymyake ikiwemo kupungua kwa vifo vya mama na mtoto na saratani

Na Magrethy Katengu,JamhuriMedia,Dar es Salaam NAIBU Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Mollel amesema kuwa moja ya mafanikio makubwa ya sekta ya afya ni kupungua kwa vifo vinavyosababishwa na saratani kwa asilimia 78,Vifo vya mama na mtoto, Hali hiyo imechangiwa na…

Mfumo wa PFZ, Vua,Uza Nunua Samaki Kidigital wazinduliwa kuwezesha wavuvi

Na Magrethy Katengu,JamhuriMediaDar es Salaam Katika jitihada za kutatua changamoto zinazoikabili sekta ya uvuvi Serikali imezindua mfumo wa kidigitali unaowezesha kutambua maeneo yenye samaki na kutoa taarifa za masoko. Mfumo huo ujulikanao kama ā€˜Potential Fishing Zone’ (PFZ) umebuniwa na Taasisi…