Category: MCHANGANYIKO
JOWUTA , THRDC walaani wanahabari kukamatwa na kupigwa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbeya CHAMA cha Wafanyakazi katika Vyombo vya Habari Tanzania (JOWUTA) na Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binaadamu nchini (THRDC) wamelaani kuanza kuibuka matukio ya waandishi wa habari na watangazaji kukamatwa na baadhi kupigwa na hata…
Balozi Nchimbi apiga marufuku wimbo unaochochea chuki dhidi ya wapinzani
Na Mwandishi Maalum KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Emmanuel John Nchimbi amepiga marufuku wimbo unaobeza na kuchochea chuki dhidi ya vyama vya upinzani, akiagiza usitumiwe na wanaCCM popote, kwani wao wanapaswa kuwa mfano wa kuigwa kuhamasisha upendo,…
JKCI yashiriki Wiki ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi kwa kutoa huduma bila malipo Singida
Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) inashiriki katika Maadhimisho ya Kimataifa ya Wiki ya Usalama na Afya Mahali Pa Kazi yanayofanyika katika viwanja vya Maonesho Mandewa vilivyopo Singida mjini kuanzia tarehe 24 – Aprili 2025. Katika maonesho haya tunatoa bila malipo huduma za…
Miaka minne ya Rais Samia, Arumeru yapokea bilioni 100.6 za maendeleo
Dkt. Biteko asisitiza Watanzania wasijaribu kuchezea amani Dkt. Biteko awataka Watanzania kuenzi, kudumisha Muungano Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema wananchi wa wilayani Arumeru,…
Martha Karua wa Kenya aingia katika 18 za Wasira
*Ni Mwanasheria aliyekuja nchini kumteteaTundu Lissu *Amtaka aache kuingilia mambo asiyoyajua,Uhuru wa.Mahakama *Asema kama anajiona anaweza kutatua migogoro aende nchi nyingine za Afrika *Amtahadharisha kujipima ubavu na CCM, hakuna wa kukishinda uchaguzi mkuu Na Mwandishi Wetu,Dodoma MAKAMU Mwenyekiti wa Chama…
Hotuba ya Rais Samia katika Maadhimisho ya Miaka 61 ya Muungano
Ndugu Wananchi;Kesho ni siku muhimu sana na ya kihistoria kwetu Watanzania. Tutaadhimisha miaka 61 tangu waasisi wa Taifa letu, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na Sheikh Abeid Amani Karume, walipofanya kitendo cha kishujaa cha kuunganisha nchi zetu mbili na kuunda Jamhuri…