Category: MCHANGANYIKO
CCM, FRELIMO waweka mikakati, kushirikisha vijana kufahamu uhusiano Tanzania, Msumbiji
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Frelimo cha Msumbiji vimekubaliana kuwashirikisha vijana ili wafahamu uhusiano uliopo kati ya vyama hivyo na kuhakikisha wananchi wa mataifa hayo wanakuwa na uhuru wa kiuchumi. Pia, vimekubaliana kutengeneza fursa za ajira, hasa kwa…
Wakulima Liyombo wazalisha kahawa tani 1,674.9 zenye thamani ya bil. 18.7/-
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbinga Wakulima wa zao la kahawa wanaohudumiwa na Chama cha msingi cha Ushirika Liyombo Amcos Halmashauri ya Wilaya Mbinga Mkoani Ruvuma, katika msimu wa kilimo 2025/2026 wamezalisha kahawa safi zaidi ya tani 1,674.9 sawa na kilo…
Kuelekea Siku ya Wanawake, NSSF yapanda miti 600 katika shule za msingi na sekondari Mwanza
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umepanda miti 600 katika shule mbili za Wilaya ya Ilemela, mkoani Mwanza, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yanayoadhimishwa kila mwaka…
Sekondari ya Pangani yapanda miti 344 kuboresha mazingira
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Shule ya Sekondari Pangani , Manispaa ya Kibaha imefanya zoezi la kupanda miti zaidi ya 344 ikiwa ni sehemu ya jitihada za kutekeleza agizo la Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan la kuhimiza taasisi za elimu…





