Category: MCHANGANYIKO
Marekani yatoa dola milioni moja kuimarisha mapambano dhidi ya Mpox Tanzania
Serikali ya Marekani yatoa takriban Dola Milioni Moja Kuimarisha Mapambano Dhidi ya Mpox TanzaniaTanzania – Serikali ya Marekani kupitia Kituo cha Kudhibiti Maradhi (CDC), imetangaza msaada wa karibu dola milioni moja kwa ajili ya kuimarisha ufuatiliaji na udhibiti wa kuenea…
CBE yaisaidia shule ya sekondari Benjamin Mkapa vifaa vya milioni 4.4/-
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimetoa msaada wa vifaa mbalimbali vyenye thamani ya shilingi milioni 4.4 kwa shule ya elimu jumuishi ya Benjamin Mkapa ya jijini Dar es Salaam. Miongoni mwa msaada…
Watendaji uboreshaji wa daftari awamu ya pili watakiwa kuzingatia sheria- INEC
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Iringa TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi imewataka watendaji wa uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kufanya kazi kwa kuzingatia Sheria, Kanuni na taratibu za Uchaguzi wakati wa utekelezaji wa awamu ya pili ya…
Vita vya kibiashara vya Trump vyatawala mkutano wa BRICS
Vita vya kibiashara vilivyosababishwa na sera mpya za ushuru za rais Donald Trump wa Marekani vimeutawala mkutano wa mawaziri wa mambo ya nje wa nchi za BRICS unaofanyika mjini Rio de Janeiro, Brazil. Mawaziri wa mambo ya nje wa Brazil,…