JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Waajiriwa wapya NIRC wasema wana deni kwa Rais Samia, Tume yawataka kuchapa kazi

📍 NIRC – Dodoma WATUMISHI wapya wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji, (NIRC), wamemshukuru Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kuwaamini na kuwapa nafasi nyingi vijana katika ajira za hivi karibuni. Pia Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC), imewataka waajiriwa…

CAG afurahishwa na makumbusho ya Ngorongoro Lengai UNESCO Geopark

Na Mwandishi Wetu, Karatu Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Charles Kichere, amefanya ziara maalum kwenye jengo la Makumbusho ya Ngorongoro Lengai UNESCO Global Geopark pamoja na kupanda mti wa kumbukumbu kwenye eneo la makumbusho hayo. CAG Kichere…

NIRC yakamilisha uchimbaji visima mashamba ya BBT Ndogoye na Chinangali

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) imekamilisha zoezi la uchimbaji wa visima katika shamba la Ndogowe na Chinangali lililoko chini ya Mradi wa Jenga Kesho Iliyobora (BBT), kwa ajili ya kuendeleza kilimo cha Umwagiliaji. Akizungumza Kaimu…

Waziri Mkuu : Rais Samia ameiheshimisha Tanzania matumizi ya nishati safi ya kupikia

📌Aipongeza REA Kwa Kusimamia vyema utekelezaji wa Mkakati wa Taifa wa Matumizi ya Nishati Safi na Usambazaji umeme Vijijini 📌Awasisitiza Watanzania kushiriki Kampeni ya Nishati Safi ya Kupikia Ataja faida za kutumia Nishati Safi ya Kupikia Asema Serikali itaendelea kuwezesha…

Vitongoji 1,997 sawa na asilimia 88.4 vyapatiwa huduma ya umeme Kilimanjaro

📌Vijiji vyote 519 vimepata huduma ya umeme Kilimanjaro 📌Bilioni 32.7 yawezesha utekelezaji miradi ya REA Kilimanjaro 📍Kilimanjaro Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB), Mhe. Balozi Meja Jenerali Mstaafu Jacob Kingu, ameeleza kuwa jumla ya vitongoji 1,997 sawa na asilimia…

Makamu wa Rais wa Zimbabwe, Kanali Mstaafu Kembo Mohadi awasili nchini

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Zimbabwe, Mheshimiwa Kanali Mstaafu Kembo Campbell Mohadi amewasili nchini Agosti 30. 2025 kwa ziara ya kazi ya siku mbili hadi Agosti 31 2025 kwa mwaliko wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa…