Category: MCHANGANYIKO
Mamilioni ya dola kuhimili athari mabadiliko tabianchi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Tanzania imeahidiwa Dola za Marekani milioni 782.2, Euro milioni 26, na Dola za Canada milioni 2 kutoka kwa washirika wa maendeleo duniani kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya kuhimili athari za mabadiliko…
INEC yaonya wanaojiandikisha mara mbili daftari la wapiga kura
Tume ya Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imewatoa rai kwa wananchi kutojiandikisha zaidi ya mara moja katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura litakaloanza katika Desemba 11 -17 mwaka huu kwenye mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na Dodoma . Aidha…
Mamlaka za usafirishaji majini barani Afrika zatakiwa kushirikiana kuboresha huduma
📌 Dkt. Biteko afungua Kongamano na Mkutano Mkuu wa 7 wa AAMA 📌 Awataka washiriki kubuni mbinu za kukabili changamoto zilizopo 📌 IMO yaahidi kuendeleza ushirikiano kukabiliana na changamoto Bahraini 📌 Dar es Salaam yampongeza Rais Samia kuboresha Bandari, kupunguza…
Shule za msingi 139 Mbinga kupewa kompyuta
📌 Kapinga asema lengo ni kuchochea kasi ya ukuaji wa Elimu 📌 Aweka Jiwe la Msingi ujenzi wa nyumba ya Mwalimu Shule ya Mbungani 📌 Asema miradi ya maendeleo itawafikia wananchi wote bila kuangalia umbali Naibu Waziri wa Nishati ambaye…
CPA Makalla ataja sababu za CCM kushinda kwa kishindo
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam KATIBU wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), CPA Amos Makalla amesema kuwa, chama hicho kimeshinda kwa kishindo kutokana na maandalizi waliyoyafanya pamoja na kuzitumia 4R za Rais wa Jamhuri…
Rais aomboleza kifo cha Ndunguile wakati wa kikao kazi jijini Arusha
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama pamoja na viongozi wengine kwa ajili ya kumuombea aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni na Mkurugenzi Mteule wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Kanda ya Afrika Marehemu Dkt. Faustine Ndugulile aliyefariki dunia nchini India alipokuwa akipatiwa matibabu, wakati wa kikao kazi kilichofanyika Ikulu ndogo…