Category: MCHANGANYIKO
Aukana uraia wa Ufaransa ili kugombea urais Ivory Coast
Aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa Credit Suisse, Tidjane Thiam, ameukana uraia wake wa Ufaransa ili kutimiza masharti ya kugombea urais wa Ivory Coast katika uchaguzi wa Oktoba mwaka huu. Thiam, 62, ambaye alichaguliwa kuwa kiongozi wa chama cha upinzani PDCI…
Ni sahihi msimamo wa wabunge kutaka NECM kuwa NEMA
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Katika dunia inayoendelea kwa kasi kwa kila nyanja, kuna kila sababu kwa Tanzania kuwa na chombo madhubuti cha kusimamia mazingira. Ni jambo lisilokuwa na ubishi kuwa kwa hali ya sasa na hata hapo baadae, Baraza…
SADC-EAC yataka M23 na wahusika wengine kuwa sehemu ya mazungumzo
Mkutano wa pamoja wa EAC-SADC kuhusu mgogoro wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo umeitaka M23 na makundi mengine yasiyo ya kiserikali kujumuishwa katika mazungumzo na majadiliano yanayoendelea kwa lengo la kutatua mgogoro wa mashariki mwa Congo. Mkutano huo pia umesisitiza…