Category: MCHANGANYIKO
PURA kunadi vitalu 26 vya utafutaji mafuta na gesi asilia
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MAMLAKA ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) imesema inatarajia kunadi vitalu 26 vya gesi asilia na mafuta kwa lengo la kuvutia wawekezaji ili kuchangia maendeleo na kukuza uchumi wa nchi kwa…
Tanzania, Oman kushirikiana sekta ya maliasili na utalii
Na Happiness Shayo, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii zimekubaliana kushirikiana na Serikali ya Oman katika sekta ya maliasili na Utalii kwa lengo la kuboresha sekta hiyo. Hayo yamejiri…
Makamu wa Rais afungua mkutano wa viongozi wa Taasisi na Mashirika ya Umma kuhusu mabadiliko ya tabianchi
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amesema Viongozi wa Taasisi na Mashirika wanawajibika kuchangia juhudi za Serikali katika kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi kwa kuandaa na kutekeleza mikakati itakayosaidia kupunguza uzalishaji…





