JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

THBUB yawakumbusha waandishi wa habari kuzingatia maadili

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB), imewashauri waandishi wa habari nchini, kujiepusha na vitendo vya rushwa ama kutangaza au kuchapisha habari zinazoweza kuvunja maadili na hata kuchochea vurugu katika kuripoti…

Tunduru kujengwa kituo cha kupooza umeme – Dk Samia

Na Kulwa Karedia,Jamhuri Media- Tunduru Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),Samia Suluhu Hassan amesema atahakikisha anajenga kituo cha kupoozea umeme katika Wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma. Amesema kituo hicho kitakuwa na uwezo wa kuzalisha megawati 116 za ziada ambazo…

Rais Samia amwaga neema Songea

Na Kulwa Karedia ,JamhuriMedia,Songea Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu ameahidi kufanya mambo makubwa endapo atachaguliwa tena kuongoza nchi. Rais Samia ametoa kauli Septamba 21,2025 wakati akihutubia maelfu ya wakazi wa mji wa Songea kwenye viwanja vya…

Maadhimisho ya Siku ya Faru Duniani, wahamasiaha uhifadhi wa faru

Picha za Matukio mbalimbali ya Maadhimisho ya siku Faru Duniani ambapo leo tarehe 22 Septemba 2025 Maafisa na Askari wa Hifadhi ya Ngorongoro kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi Karatu, wadau wa Uhifadhi na Utalii na Wananchi wameungana katika Mbio…

Majaliwa : Serikali inatambua mchango wa taasisi za dini katika kukuza elimu na maadili

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali itaendelea kushirikiana na taasisi za dini katika kuimarisha elimu na maadili nchini, akisisitiza kuwa mchango wao ni nguzo muhimu ya mshikamano na maendeleo ya Taifa. Akizungumza jijini…