JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Samia: Dk Mwinyi ndiye mgombea sahihi nitakayeshirikiana naye

Na Kulwa Karedia,Jamhuri Media-Zanzibar Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan amesema mgombea urais wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi ndiye mgombea sahihi atakayeshirikiana naye kuleta maendeleo. Amesema ushirikiano huo…

Vijana wahimizwa kuendelea kulinda amani

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam VIJANA nchini wametakiwa kuhakikisha wanalinda na kuendeleza amani iliyopo kwa kuwa wao ndiyo kundi kubwa katika jamii na wanabeba mustakabali wa taifa la kesho. Akizungumza leo Septemba 18, 2025 jijini Dar es Salaam…

Serikali ya Austria kufadhili miradi ya umeme Tanzania

📌 Ni inayozalisha umeme kutokana na Jua; Takataka. 📌 Ufadhili huo ni kupitia Benki ya UniCredit ya Austria 📌 Serikali ya Tanzania yaahidi ushirikiano Serikali ya Austria kupitia Benki ya UniCredit imeahidi kuipatia fedha Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa…

NIDA yawasajili wenye mahitaji maalum Temeke

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam KATIKA kuadhimisha Siku ya Utambulisho Duniani, Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imetoa huduma maalum ya usajili kwa watu wenye mahitaji maalum katika Halmashauri ya Temeke, jijini Dar es Salaam, ikiwa ni sehemu…

Mkurugenzi Kibaha asikiliza na kutatua kero za wajasiliamali Manispaa ya Kibaha

Mkurugenzi wa Manispaa ya Kibaha, Dkt. Rogers Shemwelekwa, akiambatana na baadhi ya Wakuu wa Divisheni na Vitengo kutoka Halmashauri, ameendelea na zoezi la kufanya mikutano ya ana kwa ana na wajasiriamali wadogo wanaofanya biashara pembezoni mwa barabara katika Kata ya…

Wananchi waelimishwa kuchagua mbinu za kisasa za kuvuna asali

Wananchi wanaendelea kuelimishwa kuhusu ufugaji wa nyuki kuwa ni fursa kubwa ya kipato na maisha bora kwani nyuki wanatupa asali yenye thamani kubwa sokoni, lakini pia wanasaidia kuchavusha mazao yetu na kulinda uhai wa mazingira. Ni muhimu wadau na wananchi…