Category: MCHANGANYIKO
Bilioni 15 kusambaza umeme kwenye vitongoji 105 Simiyu
………………. Wateja 3,465 wataunganishwiwa huduma ya umeme Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Simiyu Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA); tarehe 24 Oktoba 2024 imemtambulisha rasmi mkandarasi; kampuni ya CCC (Beijing) Industrial & Commercial Ltd; kampuni kutoka China, itakayotekeleza Mradi wa…
Bwana harusi acharuka
*Ni baada ya kugundua kuwa mkewe hajakeketwa *Amkeketa kwa nguvu ili akubalike kwenye familia *Dawati la Jinsia Mugumu lashindwa kutoa msaada Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Serengeti WAKATI jamii ikipambana kukomesha vitendo vya ukeketaji, hali ni tofauti ndani ya familia moja katika Kijiji…
Kuelekea Mkutano wa Kimataifa wa Uwekezaji katika Sekta ya Madini 2024,
Tuzo ya usiku wa madini 202 yampa hamasa kuanzisha kampuni Kutoka kuuza maandazi hadi kumiliki leseni 95 za Madini ya Bati (Tin) Moja ya Dhahabu Na Wizara ya Madini Tuzo ya Mwanamke Bora katika Sekta ya Madini Mwaka 2023 ilikwenda…
Ujenzi bomba la mafuta ghafi la EACOP wafikia asilimia 43.5
📌 Kuwa na uwezo wa kusafirisha mapipa 216,000 kwa siku 📌 Ujenzi wa kiwanda cha kuweka mfumo wa joto kwenye mabomba wafikia 92% 📌 Vijiji 12,240 vyafikiwa na nishati ya umeme Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika…
Wadau wa kisekta watakiwa kukabiliana na athari za mvua za msimu 2024/25
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Jaji Mshibe Ali Bakari amewataka wadau kutoka sekta mbalimbali kukabialiana na athari zitakazoweza kujitokeza pamoja na kuchukua hatua stahiki wakati wa mvua za msimu…
Samia Kalamu Awards yasogezwa mbele hadi Oktoba 30
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam CHAMA cha Waandishi wa habari Wanawake Tanzania (TAMWA) na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) wameongeza muda wa maombi ya ushiriki katika Tuzo za Samia Kalamu Awards hadi Oktoba 30, 2024. Tuzo hizo zitatolewa…





