Category: MCHANGANYIKO
Basi la Struggle lakamatwa kwa kuzidisha abiria 33
Na Abel Paul,Jeshi la Polisi -Arusha Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha limefanya operesheni maalum iliyolenga kutoa elimu na kufanya ukaguzi wa mabasi ambayo yatoa huduma Mkoani humo huku likimkamata dereva Sostenes Mgaya (42) Mkazi wa…
Korea yatoa bilioni 422 ujenzi wa Hospitali ya Binguni
Serikali ya Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya Korea zimesaini Mkataba wa Mkopo nafuu wa Shilingi bilioni 422.16 kwa ajili ya ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Binguni, Zanzibar. Mkataba wa Mkopo huo umesaimiwa jijini Soeul Juni 05, 2024 na…
Uwekezaji wa kweli ni katika sekta ya nishati safi ya kupikia – Rais Samia
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ameiambia dunia kuwa uwekezaji wa kweli katika nishati ni kuwekeza katika nishati safi ya kupikia barani Afrika. Rais Samia ametoa kauli hiyo wakati anahutubia Mkutano wa Wakuu wa Nchi…
Ziara ya Rais Samia Korea kuivusha Tanzania
Na Deodatus Balile, Seoul,Korea “Ukijumulisha dola bilioni 6.4 za Uturuki, ukaongeza angalau dola milioni 500 zitakazotokana na Nishati Safi ya Kupikia za Ufaransa kati ya hizo dola bilioni 2.2 zilizochangwa, ukaweka dola bilioni 2.5 za Korea Kusini, ni wazi katika…