JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Serikali yatangaza neema sekta ya madini

Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali kupitia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzanian , Dkt: Samia Suluhu Hassan imeweka wazi juu ya mipango yake ya kuhakikisha sekta ya madini nchini inakuwa miongoni mwa sekta zitakazokuwa na mchango…

Dk Biteko : Hatuna huruma tunabeba vyote

📌 Tunataka Tuoneshe Afrika na Dunia Tanzania ni Nchi ya Demokrasia 📌 Asema CCM Imejipanga Kushinda na Kuleta Maendeleo 📌 Asema CCM Inataka Ushindi wa Heshima Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa ambaye…

Uandikishaji ada za bima wafikia asilimia 7.4 sawa na tilion 1.24 mwaka 2023

Na Magrethy Katengu,JamuhuriMediaDar es Salaam MAMLAKA ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA) imefanikiwa kuwa na ongezeko uandikishaji wa ada za bima kwa kampuni za umma na binafsi kwa. asilimia 7.4 kutoka tilion Tsh 1.15 ,mwaka 2022 hadi kufikia tilion 1.24…

Wasanii 200 Songea wapata mafunzo uzalishaji filamu bora

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea Bodi ya Filamu na Michezo ya Kuigiza Tanzania (TFB)  imeendesha mafunzo kwa wasanii 200 wa tasnia ya filamu wa manispaa hiyo ili kuwajengea uwezo wa kuzalisha filamu zenye ubora na zinazokidhi soko la ndani. Mafunzo…

Mkurugenzi Manispaa Songea avishukuru vyombo vya habari

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea Mkurugenzi wa Manispaa ya Songea ambaye pia ni msimamizi wa uchaguzi katika Manispaa hiyo Bashir Muhoja amewashukuru waandishi wa habari kwa mchango wao mkubwa wa kupasha habari tangu kwa kuanza zoezi la uandikishaji na katika…