JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Wasanii wamshukuru Rais Dkt Samia kuwajumuisha ziara zake nje ya nchi

Na Magrethy Katengu, Jamhuri Media, Dar es Salaam WASANII wa Tasnia ya Filamu Tanzania (BONGO MOVIE) wanamshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kauli yake ya kuanza kuwajumuisha Wasanii mbalimbali kwenye ziara zake rasmi…

Serikali kuwachukulia hatua kali vishoka wanaoshikilia maeneo yenye malighafi za ujenzi

Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema Serikali haitasita kuwachukulia hatua kali wale wote watakaobainika kujihusisha na mchezo mchafu wa kushikilia maeneo yenye malighafi za ujenzi. Bashungwa ameyasema hayo wakati wa kuwasilisha makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka 2024/25, Bungeni…

Rais Dk Samia kufanya ziara nchini Korea kwa siku sita

Na Magrethy Katengu, JamuhuriMedia, Dar es Salaam Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan anatarajia kufanya ziara ya kikazi nchini Korea siku sita kuanzia Mei 30,2024 Akitoa taarifa hiyo leo Jijini Dar es salaam Mei 29,2024…

Serikali yaitaka TUCTA kuweka milakati ya kuwafikia wafanyakazi sekta isiyo rasmi

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na wenye ulemavu, Deogratius Ndejembi amelitaka Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania TUCTA kuweka mipango madhubuti ya kuwafikia na kuwapa elimu wafanyakazi wanaofanya…

Tanzania yapongezwa kuanzisha mpango jumuishi wa wahudumu wa afya ngazi ya jamii

Na WAF – Geneva, Uswisi Wadau wa maendeleo wa Sekta ya Afya wameipongeza Tanzania kwa kuanzisha mpango jumuishi na shirikishi wa wahudumu wa Afya ngazi ya Jamii utakaowafikishia wananchi huduma za Kinga, Tiba na Elimu ya Afya mahali walipo bila…