Category: MCHANGANYIKO
Kishindo cha Samia mkoani Tabora
*Atangaza neema ujenzi wa taa 2,500, madaraja*Akumbushia historia ya Mwalimu Nyerere Na Kulwa Karedia,Jamhuri Media, Tabora Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),amehitimisha kampeni zake mkoani Tabora kwa kishindo. Akizungumza na maelfu ya wakazi wa mkoa wa Tabora katika mkutano…
TAKUKURU Pwani yarejesha milioni 1.3 kwa wananchi Nyakahamba
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriPwani Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Pwani imerejesha kiasi cha shilingi 1,376,250 kwa wananchi wa Kitongoji cha Nyakahamba, kata ya Kerege, wilayani Bagamoyo, waliotozwa kinyume cha utaratibu na Mwenyekiti wa Kitongoji kwa…
PMM wafurahia fursa ya Oman, utachochea maendeleo
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkurugenzi mtendaji wa Kampuni ya Usafirishaji ya PMM, Dk Judith Mhina Spendi, amesema kuwa kuwasili kwa wageni kutoka Oman kwenda kwenye ofisi yao ya ni fursa ya kukuza uchumi wao na taifa kwa…
Dk Biteko ahaidi neema zaidi Bukombe miaka mitano ijayo
📌 Ataja miradi lukuki iliyotekelezwa Bukombe 📌 Oktoba 29 Katome kumpa kura zote Rais Samia Mgombea Ubunge wa Jimbo la Bukombe kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Doto Mashaka Biteko amesema endapo wananchi wa Jimbo hilo watamchagua tena kuwa mbunge…
Dk Tulia amuombea Samia kura kwa machifu
Na Ruja Masewa, JamhuriMedia, Mbeya Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na aliyekuwa Spika wa Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Tulia Ackson, amemuombea kura mgombea wa urais Samia Suluhu Hassan, kwa Machifu wa Kisafa…
TMA yatoa utabiri wa mvua za Vuli, yawashauri wananchi kuchukua tahadhari
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa utabiri wa msimu wa mvua za Vuli kwa kipindi cha Oktoba hadi Desemba 2025, ikionya kuwa mvua zinatarajiwa kuwa za Wastani hadi Chini ya Wastani…





