Category: MCHANGANYIKO
Rais Dkt. Samia awataka wakulima wa pamba kukaa mguu sawa
Asema Serikali imeamua kuliinua zao hilo ili kukuza uchumi Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Simiyu RAIS Dkt. Samia Suluhu Hassan, amezindua viwanda viwili cha Pamba na Mabomba mkoani Simiyu huku akisisitiza kuwa, Serikali imedhamiria kufanya uwekezaji katika zao hilo na mabadiliko…
TPA yazindua zoezi la ukaguzi wa malori yanayohudumia bandarini
Na Mwandishi Wetu, Dar es salaam, Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi nchini imeanza rasmi zoezi la ukaguzi wa ubora wa malori yanaingia bandarini kwa ajili ya kushusha na kupakia mizigo inayopita katika…
Rais Samia apeleka neema ya maji Kasulu
Na Allan Kitwe, Kasulu SERIKALI ya awamu ya 6 inayoongozwa na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan imepeleka zaidi ya sh bil 40 katika Wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maji safi na salama ili kumaliza…