Category: MCHANGANYIKO
World Vegetable Centre, Chuo Kikuu Taiwan kushirikiana kukuza kilimo
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Tanzania inategemewa kuzalisha wataalamu wengi zaidi katika uzalishaji wa mbegu bora chotara za mazao mbalimbali baada ya Chuo Kikuu cha Taiwan kuonesha utayari wa kuanzisha program mbalimbali za mafunzo katika taasisi ya Kimataifa ya Utafiti…
Zambia, Malawi kuinkgia Mareani kwa dola 15,000
Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imetangaza kwamba raia wa Zambia na Malawi sasa watatakiwa kulipia dhamana ya dola 15,000 ili kuweza kuingia nchini Marekani kwa vibali vya biashara ama utalii. Uamuzi huo unaanza kutekelezwa tarehe 20 Agosti kama…
NLD yazindua ilani yake ya uchaguzi 2025
Chama cha National League for Democracy (NLD) kimezindua rasmi Ilani yake ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025, ikiwa ni hatua muhimu kuelekea katika mchakato wa uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi Oktoba mwaka huu. Kwa mujibu wa taarifa kwa umma iliyowasilishwa…
Mikoko ni dhahabu ya bahari, dira ya maendeleo ya uchumi wa buluu
Na Stella Aron, JamhuriMedia, Tanga Mikoko ni moyo wa uchumi wa buluu. Bila mikoko,mazingira baharini yangekuwa dhaifu, maisha ya viumbe wa pwani yangepungua na uchumi wa jaii za pwani ungeathirika. Pamoja na faida hizo baadhi ya watu hukata mikoko kwa…