JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Rais Samia: Bahi kupata maji ya Ziwa Victoria

Na Kulwa Karedia, JamhuriMedia, Bahi Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, amesema serikali imejipanga kufikisha maji kutoka Ziwa Victoria hadi Wilaya ya Bahi, mkoani Dodoma. Amesema hatua hiyo itasaidia kumaliza tatizo la maji yenye chumvi linalowakabili…

LHRC yapatiwa ufadhili dola milioni 2 na Ubalozi wa Norway

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMediaDar es Salaam Kituo cha Sheria na Haki za binadamu kimehuisha kwa kusaini Mkataba Mpya wa makubaliano wa miaka 3, kuanzia 2025-2027 na Ubalozi wa Norway kupatiwa Ufadhili wa fedha kiasi Dola Milioni mbili zitakazosaidia katika Mpango…

TMA yahimizwa kuendelea kushirikisha wadau kukabiliana na athari za mabadiliko ya hali ya hewa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imehimizwa kuendelea kushirikisha wadau kutoka sekta mbalimbali ili kukabiliana na athari za mabadiliko ya hali ya hewa nchini. Mgeni rasmi na Mwenyekiti wa Bodi ya TMA, Jaji Mshibe…

Rais Samia kuwasili Singida

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMddia, Dodoma MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan anatarajia kuanza kampeni zake mkoani Singida Septamba 9, mwaka huu. Kuanza kampeni zake mkoani Singida kumekuja baada ya kumaliza kampeni hizo katika mikoa ya Iringa,…

Majaliwa azindua kampeni za ubunge jimboni Mchinga

*Asema Rais Samia anatosha, aomba wananchi kumchagua kwa kishindo*Asema Salma Kikwete ana uwezo na dhamira ya kuwatumikia wananchi wake Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Lindi Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, amezindua kampeni za Mgombea wa Ubunge wa Jimbo la Mchinga, Salma Kikwete,…