Category: MCHANGANYIKO
Simba yamtambulisha Mlinda mlango mpya
Na Isri Mohamed Klabu ya Simba imemtambulisha mlinda lango wao mpya, Moussa Camara (25), Rais wa Guinea akitokea klabu ya AC Horoya ya nchini Guinea. Simba imesajili nyanda huyo kuchukua nafasi ya golikipa wao namba mopja, Ayoub Lakred, ambaye atakuwa…
Dk Biteko afunga maonesho ya Nanenane nyanja za juu Kusini
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko leo Agosti 2, 2024 amezindua Sherehe za Maonesho ya Wakulima – Nane Nane Kanda ya Nyanda za Juu Kusini na kutembelea mabanda mbalimbali ya maenesho katika katika Viwanja vya…
Waziri Mkuu ahani msiba wa mama yake mzazi Halima Mdee
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni sanaa na Michezo Gerson Msigwa, alipofika kuhani msiba wa marehemu Bi. Theresia Mdee ambaye ni mama mzazi wa Mbunge wa Viti Maalum Halima Mdee nyumbani kwake Area D…
Mlongazila kupandikiza meno bandia
Hospitali ya Taifa Muhimbili -Mloganzila inatarajia kufanya kambi maalum ya kupandikiza meno bandia kwa njia ya kisasa itakayofanyika kuanzia Septemba 02 hadi 06, 2024. Mkurugenzi Msaidizi wa Huduma za Upasuaji Dk Godlove Mfuko amesema kambi hiyo itahusisha Madaktari Bingwa wa…