JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Rais Samia kumjengea nyumba mtoto Alhaji

na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Ikiwa ni siku moja tangu Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo Paul Makonda kupokea changamoto ya kijana Alhaji Yahya Abdallah ambaye anafanya biashara ya kuuza ndizi ili kumsaidia mama…

Waziri Jafo: Biashara ya Kaboni kuiingizia pato la taifa trilioni 2.4

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Dkt. Selemani Jafo amesema Serikali inatarajia kupata wastani wa shilingi trilioni 2.4 kutokana na biashara ya kaboni ambazo zitachangia kwa kiasi kikubwa kwenye pato…

Serikali yatangaza fursa kwa wadau wa TEHAMA

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya habari kwa kushirikiana na Washauri elekezi wa Chuo Kikuu cha Hanyang cha Korea wamefungua rasmi maandalizi ya ujenzi wa Chuo cha TEHAMA Dodoma ambacho kitakuwa na uwezo wa kudahili wanafunzi…

Pinda awafunda watendaji sekta ya ardhi Mwanza

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Geophrey Pinda amewafunda watendaji wa sekta ya ardhi katika jiji la Mwanza kwa kuwataka kusimamia sekta hiyo kwa kuzingatia kanuni, taratibu na miongozi ya sekta hiyo. Amesema,…