Category: MCHANGANYIKO
NIRC yaridhishwa na kasi ya ujenzi wa skimu ya Makwale – Kyela
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kyela Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) kupitia Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Uendelezaji wa Miundombinu, Mhandisi Leopard Runji, imefanya ziara ya ukaguzi wa miradi ikiwemo ujenzi wa skimu ya Umwagiliaji Makwale, iliyopo Kyela mkoani Mbeya….
Dk Nchimbi apokea barua ya kazi wa Bukoba mjini mwenye ulemavu wa miguu
Mgombea mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akimsikiliza Mlemavu wa Miguu,Amos Kalungula. Dk.Nchimbi yuko mkoani Kagera ambako amewasili tangu jana na leo Septemba…
Mawe yaliyoko njia ya mkojo yavunjwa kwa teknolojia salama
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam HOSPITALI ya Mfumo wa Mkojo na Uzazi ya MDM ya Mbezi Beach jijini Dar es Salaam imeandaa kambi maalum endelevu kuanzia tarehe 8 Jumatatu kwaajili ya matibabu ya maradhi ya mfumo wa mkojo…
Serikali kuendelea kuwawezesha vijana
Na Mwandishi Wetu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Riziki Pembe Juma amesema Serikali itaendelea kuwawezesha vijana katika kuhakikisha wanapata elimu itakayowawezesha kujiajiri na kuajirika. Akifunga mafunzo ya upambaji wa uso (make up) katika ukumbi wa Baytul…
TMA yatoa taarifa ya kupatwa kwa mwezi kesho
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imesema kesho Septemba 7, 2025 inatarajia kutokea tukio la kupatwa kwa mwezi . Hali ya kupatwa kwa Mwezi ni tukio linalotokea wakati Dunia inapita kati ya Jua na Mwezi na kusababisha kivuli cha…
Mkuu wa Mkoa Songwe awataka wananchi, kamati ya ulinzi na usalama kuwa macho na miradi ya umwagiliaji
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MKUU wa Mkoa wa Songwe Jabir Makame, amewataka wananchi wa mkoa huo na kamati ya Ulinzi na Usalama kuwa macho na kutocheka na yeyote anayehujumu miradi ya Umwagiliaji. Amesema fedha zinazowekezwa na Serikali…





