JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Dk Biteko atoa wito vyombo vya habari kuelimisha jamii kuhusu historia ya mashujaa

📌Rais Samia mgeni rasmi Maadhimisho ya Mashujaa kesho 📌Atoa wito kwa wananchi kushiriki Maadhimisho ya Mashujaa Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ametoa wito kwa…

Katibu Mkuu Kiongozi kufungua mafunzo kwa watendaji wakuu taasisi za umma

Na Mwandishi Wetu -OMH Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dk. Moses Kusiluka anatarajia kuwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa mafunzo ya siku nne kwa watendaji wakuu wa taasisi, mashirika ya umma na wakala wa serikali. Mafunzo hayo yatakayofanyika kuanzia Julai 28-31,…

Tanzania yaonesha dhamira ya kuimarisha ushirikiano na Rwanda kupitia mkutano wa 16 wa JPC

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeonesha dhamira thabiti ya kuimarisha na kuendeleza ushirikiano na Jamhuri ya Rwanda kupitia Mkutano wa 16 wa Tume ya Kudumu ya Pamoja ya Ushirikiano (JPC), unaofanyika jijini Kigali kuanzia tarehe 24 hadi 26 Julai 2025….

EU kuendelea kuisaidia Tanzania uchumi wa buluu

Umoja wa Ulaya (EU) umeahidi kuendelea kuisaidia Tanzania katika kutimiza lengo la mageuzi katika sekta ya Uchumi wa Buluu lililoainishwa katika Dira ya Taifa ya Maendeleo (2050) iliyozinduliwa hivi karibuni na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt….

Wadau wa mazingira kutekeleza Dira ya Maendeleo 2050 eneo la uchumi wa buluu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tanga WADAU wa mazingira nchini wako tayari kutekeleza Dira ya Maendeleo 2050 katika eneo la Uchumi wa Buluu kwa kuwajengea uwezo wananchi kufanya shughuli endelevu na rafiki kwa bahari. Katika kufanikisha hilo wadau hao kupitia Shirika…

Vituo viwili vya kupunguza kasi ya mafuta ghafi EACOP kujengwa nchini

📌Vinalenga kupunguza kasi ya Mafuta kutoka Hoima Uganda hadi Chongoleani Tanzania 📌Ujenzi wafikia asilimia 50 📌 Mabomba ya kipenyo cha inchi 24 kutumika kusafirsha mafuta ghafi 📌 Wataalam wazawa waomba Serikali kuwa na data za kuwatambua pindi miradi inapotokea Na…