JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

CRDB Yaingia mkataba wa miaka mitatu na Bongo Star Search kuibua vipaji vya vijana

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dar es Salaam CRDB Bank imeingia makubaliano ya ushirikiano wa miaka mitatu na Bongo Star Search (BSS) kwa lengo la kuibua, kuendeleza na kuwajengea uwezo vijana wenye vipaji mbalimbali nchini, kuanzia mwaka 2026 hadi 2028. Makubaliano hayo…

Sabasaba yaja na ‘Usiku wa Dhahabu’ kuibua historia ya miaka 50 ya mageuzi ya biashara

 Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katika kuelekea kilele cha maadhimisho ya Jubilei ya Dhahabu ya miaka 50 ya Maonesho ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba), mwaka huu wadau wa biashara, wawekezaji, wabunifu na wananchi wanatarajiwa…

Benki ya Dunia yaeleza imani kwa mustakabali wa Tanzania na ajenda ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050

Tarehe 18 Mei, 2026, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, alimpokea Ikulu jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Dunia anayemaliza muda wake, Bw. Nathan Belete, aliyefika kumuaga Mheshimiwa Rais na kumtambulisha…

Kituo cha umeme Ifakara chachochea maendeleo Kilombero

📌Kimetekelezwa na REA kwa gharama ya Tsh. Bilioni 25 📌DC Kilombero aipongeza REA, atoa wito kwa wawekezaji 📌Kimeimarisha upatikanaji wa umeme Ukanda wa Morogoro Kusini Ifakara, Kilombero Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imetumia shilingi bilioni 25 kujenga Kituo…

Vijana 521 waondoka kwa ajira nje ya, 45 waenda Ulaya

Na OWM-KAM, Dar es Salaam Serikali imeendelea kufungua na kuimarisha njia salama za uhamiaji wa nguvu kazi kwa kushirikiana na nchi rafiki pamoja na taasisi za kikanda na kimataifa, ikiwa ni juhudi za kuhakikisha Watanzania wanapata ajira zenye staha, kulindwa…

Wasira awatolea uvivu walioanza mbio za urais

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara, Stephen Wasira, amewaonya wanachama walioanza harakati za kusaka urais mwaka 2030 kwa kuwa muda wa kufanya hivyo bado haujawadia, hivyo wanaofanya hivyo wanakiuka kanuni, miongozo na utaratibu. Amesema kuanza mapema harakati…