Category: Kitaifa
Wasira : Endeleeni kuiamini CCM na kuipa nafasi ya kuongoza na kuleta maendeleo
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, amesema Chama kinafanya kazi kubwa ya kuleta mabadiliko ili kuwaletea maendeleo wananchi. Aidha, amesisitiza wananchi wandelee kukiamini na kukipa nafasi Chama kiendelee kudumisha amani kwa kuwa maendeleo hayatapatikana iwapo…
Sadifa asema Samia, Mwinyi wanastahili kuendelea kuongoza
Na Kulwa Karedia , Jamhuri Media,Unguja Mwenyekiti mstaafu wa Jumuiya ya Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) na mgombea ubunge Jimbo la Donge, Sadifa Juma Khamis, amesema wagombea urais wa Chama Cha Mapinduzi,(CCM) Samia Suluhu Hassan na Dk Hussein Mwinyi…
Tanzania yazidi kusonga mbele katika mapinduzi ya kidijitali
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Sekta ya mawasiliano nchini Tanzania inaendelea kushuhudia ukuaji mkubwa, hali inayochochewa na ongezeko la watumiaji wa intaneti, vijana wanaokumbatia teknolojia kwa kasi, pamoja na sera za Serikali zinazohamasisha uvumbuzi katika TEHAMA. Miongoni mwa…
Mgombea urais AAFP aahidi kuwachapa viboko wanaokula rushwa, aahidi kuwepo kwa uzalendo
Mgombea Urais kupitia cha cha wakulima AAFP Kunje Ngombalemwilu amesema pindi atakapopata ridhaa ya kuongoza nchi atahakikisha anajenga madarasa kwa ajili ya kufundisha uzalendo na maadili ambapo elimu hiyo itatolewa na wastaafu nchini. Hayo ameyasema leo jijini Dar es Salaam…
Dk Migiro asema mafanikio ya Samia,Dk Mwinyi yamengwa na 4R
Na Mwandishi Wetu, Jamhuri Media,Zanzibar Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Asha-Rose Migiro, amesema mafanikio ya Rais Samia Suluhu Hassan na Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi, yamejengwa juu ya misingi imara ya falsafa ya R4, ambayo…