Category: Kitaifa
‘Dk Samia anastahili kura za ndio’
Katibu Mkuu mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Bashiru Ali, amesema kuwa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan, anastahili kupigiwa kura za ndiyo katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika kesho Oktoba 29, 2025,…
Kikwete : CCM si chama cha maneno maneno bali ni chama cha vitendo
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais mstaafu wa Awamu ya Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, amesema CCM si chama cha maneno maneno bali ni chama cha vitendo, akisisitiza kuwa chama hicho kitaendelea…
Mgombea urais NLD Doyo aahidi kuanzisha mkoa mpya wa Kusini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Masasi Mgombea urais kupitia Chama cha NLD, Mhe. Doyo Hassan Doyo, ameendelea na kampeni zake za lala salama wilayani Masasi, katika viwanja vya Soko la Mkuti, Masasi Mjini. Akiwahutubia mamia ya wakazi wa Masasi, Mhe. Doyo…
Dk Mwinyi : Amani na umoja nguzo za maendeleo Zanzibar
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Paje Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema chama kitaendelea kusimamia na kulinda misingi ya amani, umoja na mshikamano ambayo imeiwezesha Zanzibar kufikia mafanikio makubwa ya maendeleo katika miaka…
ACT Wazalendo kujadili jinsi ya kupiga kura kwa nafasi ya rais
Chama cha ACT Wazalendo kimesema kitafanya kikao cha dharura leo usiku, kujadili ni namna gani wanachama wa chama hicho watapiga kura ya rais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 29, 2025. Hatua hiyo inatokana na maamuzi ya Mahakama Kuu Masjala ya…
Wenje :Nimegundua usichokijua ni usiku wa giza
Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Ziwa Victoria, Ezekiel Wenje, amesema kuwa katika kipindi chake cha siku tatu ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) amebaini mambo mengi kuhusu maendeleo yaliyotekelezwa na Serikali. Amesema kuwa awali alipokuwa nje ya chama hicho,…





