Category: Kitaifa
TWCC Yaipongeza FCC kwa kuimarisha elimu dhidi ya bidhaa bandia
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM CHAMA cha Wanawake Wafanyabiashara Tanzania (TWCC) kimeipongeza Tume ya Ushindani (FCC) kwa kuendelea kutoa elimu kuhusu utambuzi wa bidhaa bandia na ulinzi wa biashara kwa wajasiriamali, kikisema mafunzo hayo yameongeza uelewa na kusaidia kulinda…
TEA Yaimarisha Elimu ya Amali kwa Vifaa vya kisasa vya ushonaji
Na Mwandishi Wetu WANAFUNZI wanaosoma mkondo wa elimu ya amali katika Shule ya Sekondari Dar es Salaam wameeleza kuwa ufadhili wa vifaa vya ushonaji uliotolewa na Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) umeleta mapinduzi makubwa katika utoaji wa mafunzo ya vitendo,…
TFS yapokea wageni wa ofa ya Sabasaba
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Bagamoyo Wakala wa Misitu nchini (TFS), wamepokea wameanza kupokea wageni kutokana na punguzo la msimu huu wa Sabasaba katika kutembelea vituo vyao vya utalii. Zoezi hilo limeanza rasmi kwa kupokea wageni wa ndani na nnje ya…
Mulokozi achangia milioni 158 harambee ya ujenzi wa Kanisa Kibondo
Mwenyekiti wa Makampuni ya Mati Group, David Mulokozi, ameshiriki kama Mgeni Rasmi katika Ibada ya Harambee ya kuchangisha fedha za ujenzi wa Kanisa la Parokia ya Mt. Maria Mama wa Mungu Kibondo, lililopo Wilaya ya Kibondo, Mkoa wa Kigoma. Akizungumza…
RC Manyara awataka Simanjiro kuchangamkia hewa ya ukaa
Na Mwandishi wetu, Simanjiro MKUU wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga amewataka madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Simanjiro kuchangamkia fursa ya miradi ya hewa ya ukaa ili jamii iweze kunufaika kwa maendeleo. RC Sendiga ameeleza hayo mji mdogo wa…
CRDB Yaingia mkataba wa miaka mitatu na Bongo Star Search kuibua vipaji vya vijana
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dar es Salaam CRDB Bank imeingia makubaliano ya ushirikiano wa miaka mitatu na Bongo Star Search (BSS) kwa lengo la kuibua, kuendeleza na kuwajengea uwezo vijana wenye vipaji mbalimbali nchini, kuanzia mwaka 2026 hadi 2028. Makubaliano hayo…




