Kamishina Mkuu wa UNHCR atua Dodoma

Kamishina Mkuu wa Shirika la Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR), Bw. Filippo Grandi yupo nchini tokea tarehe 24 Agosti 2022 kwa ziara ya kikazi ambapo pamoja na mambo mengine, atafanya mazungumzo na viongozi wakuu wa Serikali na kutembelea Kambi za Wakimbizi mkoani Kigoma. Bw. Grandi ambaye jana ametembelea Kambi ya Wakimbizi ya Nyarugusu ya…

Read More

Tanzania yaweka rekodi kwa wananchi kuhamia vijijini

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Wakala wa Nishati Vijijini (REA),hadi sasa umetumia takribani Shilingi trilioni 3 kwa ajili ya kazi ya kupeleka miradi ya umeme vijijini ili kuhakikisha nishati ya umeme inafika na kutumika kwa ajili ya matumizi mbalimbali ikiwemo ya uzalishaji, kuboresha huduma na shughuli za kiuchumi. Hayo yamesemwa jana na Mkurugenzi Mkuu wa REA Mhandisi…

Read More