JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Uchumi

Makamu wa Rais ateta na mwenyekiti wa bodi wa AGRA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango leo tarehe 07 Septemba 2022 amekutana na kufanya mazungumzo na Mwenyekiti wa Bodi ya Jumuiya ya Mapinduzi ya Kijani Barani Afrika (AGRA) ambaye ni Waziri Mkuu Mstaafu wa…

Kamishina Mkuu wa UNHCR atua Dodoma

Kamishina Mkuu wa Shirika la Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR), Bw. Filippo Grandi yupo nchini tokea tarehe 24 Agosti 2022 kwa ziara ya kikazi ambapo pamoja na mambo mengine, atafanya mazungumzo na viongozi wakuu wa Serikali na kutembelea Kambi…

Ndaki ataka agizo la Rais juu ya maeneo ya wafugaji kutekelezwa

Na Edward Kondela,JamhuriMedia,Morogoro Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mashimba Ndaki (Mb) amezitaka halmashauri na mamlaka za serikali za mikoa kuhakikisha zinatekeleza agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan la kutenga maeneo kwa ajili ya wafugaji…

Tanzania yaweka rekodi kwa wananchi kuhamia vijijini

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Wakala wa Nishati Vijijini (REA),hadi sasa umetumia takribani Shilingi trilioni 3 kwa ajili ya kazi ya kupeleka miradi ya umeme vijijini ili kuhakikisha nishati ya umeme inafika na kutumika kwa ajili ya matumizi mbalimbali ikiwemo ya uzalishaji,…