Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
September 16, 2022
Uchumi
Kimilembe afungua mafunzo kwa mafundi viyoyozi,majokofu
Jamhuri
Comments Off
on Kimilembe afungua mafunzo kwa mafundi viyoyozi,majokofu
Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Bi.Kemilembe Mutasa amefungua mafunzo kwa mafundi mchundo wa viyoyozi na majokofu wa Mkoa wa Arusha kuhusu njia bora za kuhudumia (service) vifaa hivyo kwa kutumia gesi pasipo kuharibu tabaka la ozoni jijini Arusha ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Siku ya Hifadhi ya Tabaka la Ozoni yanayofanyika leo Septemba 16, 2022.
Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Kemilembe Mutasa (mstari wa mbele) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya maofisa kutoka wizarani mara baada ya kufungua mafunzo kwa mafundi mchundo wa viyoyozi na majokofu wa Mkoa wa Arusha kuhusu njia bora za kuhudumia (service) vifaa hivyo kwa kutumia gesi pasipo kuharibu tabaka la ozoni jijini Arusha ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Siku ya Hifadhi ya Tabaka la Ozoni yanayofanyika leo Septemba 16, 2022.
Baadhi ya mafundi wakiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Bi.Kemilembe Mutasa katika mafunzo kwa mafundi mchundo wa viyoyozi na majokofu wa Mkoa wa Arusha ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Siku ya Hifadhi ya Tabaka la Ozoni yanayofanyika leo Septemba 16, 2022.
Post Views:
297
Previous Post
Halmashauri zatakiwa kuainisha maeneo ujenzi wa vituo vya afya
Next Post
Rais wa Sierra Leone kutua Dar leo
Wakuu wa nchi 25 kushiriki mkutano wa nishati Afrika
JK aipa PPAA changamoto kuokoa fedha za Serikaki katika miradi
Baraza la wafanyakazi Ofisi ya Mwanasheria Mkuu lakutana
Kampeni ya ‘Ubungo usiku kama mchana’ yazinduliwa
Habari mpya
Rais wa Sierra Leone kutua Dar leo
Wakuu wa nchi 25 kushiriki mkutano wa nishati Afrika
JK aipa PPAA changamoto kuokoa fedha za Serikaki katika miradi
Baraza la wafanyakazi Ofisi ya Mwanasheria Mkuu lakutana
Kampeni ya ‘Ubungo usiku kama mchana’ yazinduliwa
JKCI yazidi kutanua wigo wa huduma za matibabu nchini
Watatu mbaroni kwa wizi mtoto wa miezi saba, wakutwa msituni
Bashe ahimiza ushirikiano kati ya Tume ya Umwagiliaji na Wakurugenzi Watendaji wa Halmashauri
Waziri Kombo akutana na Waziri wa Uchukuzi wa Czech
Polisi Arusha wapewa pikipiki 20 kuimarisha usalama
Tanzania, UN tourism zasaini makubaliano ya kongamano la kimataifa la utalii wa vyakula barani Afrika
Maelfu watakiwa kuhama baada ya moto mpya kuzuka Marekani
Marekani yaahidi kuunga mkono Serikali ya Israel
ZEEA yaanza kutoa mikopo kidijitali, maafisa washauriwa kuwa makini
Wasira awashukia waliopora ardhi ya vijiji