‘Tanzania ni tajiri wa urithi wa utamaduni’

Makumbusho ya Taifa la Tanzania inatarajia kuwa na programu maalum ya kimakumbusho yenye vionjo vya Kiswahili kama sehemu ya zao jipya la kivutio cha utalii wa utamaduni. Akizungumzia Programu hiyo ya Kimakumbusho itakayofanyika Agosti 6,2022, Kijiji Cha Makumbusho Jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Mkuu wa Makumbusho ya Taifa, Dkt. Noel Lwoga amesema jitihada zinazofanywa na…

Read More

Mpwapwa watakiwa kusimamia miradi

Na Mwandishi Wewtu,JamhuriMedia Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira, Dkt.Switbert Mkama, ametoa rai kwa wakazi wa Wilaya ya Mpwapwa kusimamia kikamilifu miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika maeneo yao. Ametoa rai hiyo leo Agosti 2,2022, akiwa katika ziara ya kikazi ya kukagua utekelezaji wa Mradi wa Kuhimili Mabadiliko ya Tabianchi kwa kutumia mifumo…

Read More

Nyerere: Huwezi Kuwadanganya Wote

“Unaweza kuwadanganya watu wote kwa muda fulani na baadhi ya watu wakati wote, ila hauwezi kuwadanganya watu wote kwa wakati wote.” Haya ni maneno yaliyojaa hekima yaliyotolewa na Baba wa Taifa na Rais wa Awamu ya Kwanza wa Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Alifariki dunia Oktoba 14, 1999 jijini London, Uingereza. Dunia haiwezi kumsahau kwa kusimamia…

Read More