Mtwara wapewe asilimia mbili

Kwa muda wa mwezi mzima wananchi wa Mkoa wa Mtwara wapo kwenye maandamano. Maandamano haya yanaelekea kulifikisha taifa katika uvunjifu wa amani. Wananchi wanatumia nguvu, na kuna uwezekanao Serikali nayo itafika mahala itaishiwa uvumilivu itaanza kutumia nguvu. Mungu apishe mbali.

Read More

Mwaka mpya tuchape kazi

 

 

 

Leo ni Mwaka Mpya. Ni mwaka 2013. Tunafahamu Januari hii ni kichomi kwa familia nyingi. Iwe kwa matajiri au masikini, waajiri au waajiriwa ni mwezi wa tabu. Kodi za nyumba zinadai, ada za shule zinadai, wenye magari mengi yanaisha bima na hati za njia na hata wenye kununua viatu na nguo kwa msimu zimekwisha, wanahitaji vipya.

Read More