Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
September 2, 2022
Uchumi
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya sheria yakabidhi hoja za mapendekezo
Jamhuri
Comments Off
on Kamati ya Kudumu ya Bunge ya sheria yakabidhi hoja za mapendekezo
Kaimu Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Sheria Ndogo,Ramadhan Suleiman Ramadhan akiongoza kikao cha kamati hiyo kilichokabidhi hoja za Mapendekezo ya kamati kwa Serikali (Ofisi ya Waziri Mkuu; Sera, Bunge na Uratibu) zilizowasilishwa katika Mkutano wa Saba wa Bunge ili ziweze kupatiwa majibu tukio lililofanyika katika ofisi za Bunge Jijini Dodoma leo tarehe 2 Septemba, 2022
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu; Sera, Bunge na Uratibu, George Simbachawene (katikati) akizungumza mbele ya Wajumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Sheria Ndogo wakati wa kupokea hoja za kamati hiyo zilizowasilishwa katika Mkutano wa Saba wa Bunge ili ziweze kupatiwa majibu tukio lililofanyika katika ofisi za Bunge Jijini Dodoma leo tarehe 2 Septemba, 2022, kushoto kwake ni Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu; Sera, Bunge na Uratibu, Mhe. Ummy Nderiananga
Wajumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Sheria Ndogo wakiwa katika kikao cha kukabidhi hoja za Mapendekezo ya kamati kwa Serikali (Ofisi ya Waziri Mkuu; Sera, Bunge na Uratibu) zilizowasilishwa katika Mkutano wa Saba wa Bunge ili ziweze kupatiwa majibu tukio lililofanyika katika ofisi za Bunge Jijini Dodoma leo tarehe 2 Septemba, 2022
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu; Sera, Bunge na Uratibu, George Simbachawene akipokea taarifa ya Mapendekezo ya kamati zilizowasilishwa katika Mkutano wa Saba wa Bunge ili ziweze kupatiwa majibu kutoka kwa Kaimu Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Sheria Ndogo, Mhe. Ramadhan Suleiman Ramadhan tukio lililofanyika katika ofisi za Bunge Jijini Dodoma leo tarehe 2 Septemba, 2022
.
(PICHA NA OFISI YA BUNGE
Post Views:
164
Previous Post
Kinana aanza ziara ya kikazi Kagera
Next Post
Sendiga: Watumishi tatueni kero za wananchi
Mbetto :Jussa acha matamshi ya kibaguzi Zanzibar
Dereva aliyesababisha ajali iliyoua watu nane akamatwa
WHI yatunukiwa tuzo ya nyumba za gharama nafuu zaidi Afrika
NEEC yadhamiria kuwainua kiuchumi wananchi kwa kutoa elimu ya kutambua fursa
Setilaiti iliyotengenezwa na Boeing yavunjika angani
Habari mpya
Mbetto :Jussa acha matamshi ya kibaguzi Zanzibar
Dereva aliyesababisha ajali iliyoua watu nane akamatwa
WHI yatunukiwa tuzo ya nyumba za gharama nafuu zaidi Afrika
NEEC yadhamiria kuwainua kiuchumi wananchi kwa kutoa elimu ya kutambua fursa
Setilaiti iliyotengenezwa na Boeing yavunjika angani
Geita yaupokea mradi wa bilioni 17 kusambaza umeme kwenye vitongoji 105
Kongamano la ARGe0-C10 kuongeza kasi uendelezaji jotoardhi Afrika Dk Mataragio
Urusi yafanya mashambulizi usiku kucha mjini Kyiv Ukraine
Profesa Mkumbo avutiwa na utendaji wa bandari ya Dar
FCS, LATRA CCC wasaini makubaliano kuimarisha ulinzi na haki ya walaji sekta ya usafiri ardhini
Mfumo wa PAIS kudhibiti migogoro baina wanyamapori na binadamu Babati
Waziri Bashungwa aongoza utiaji saini ujenzi wa daraja la Jangwani
GST kukamilisha upatikanaji wa ithibati vyungu kuyeyushia sampuli za dhahabu
Kamati ya Bunge yaridhishwa utendajikazi Wizara ya Nishati
Shule za Mbeya kufanyiwa ukarabati mkubwa, zitoe mazingira bora ya kujifunzia