Category: Siasa
UNDP kusaidia uboreshaji NEC, TANAPA
Shirika la Mpango wa Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) liko tayari wakati wowote kuchangia uboreshaji wa shughuli za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) na Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA), amesema Mkurugenzi wa mpango huo, Helen Clark.
Wafanyakazi Bandari waanza mkakati
*Wasema Njowoka amewasaliti, anazungumza lugha ya Kipande
*Wasema elimu ndogo inamfanya ajikombe, tamko lake lawakera
*Waomba wabunge wambane DG, Mwakyembe, Bodi ivunjwe
*Serikali yamzuia kuvunja Idara ya Masoko, Benki ya Dunia yasitisha mradi
Wafanyakazi wa Bandari wameanza mkakati wa chini kwa chini kuhakikisha wanamng’oa madarakani Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyakazi wa Shughuli za Meli na Bandari Tanzania (DOWUTA), Edmund Njowoka, wanayedai anatafuna fedha za Bandari kama mchwa.
Waziri Nyalandu adanganya
Usanii wa kisiasa unaofanywa na Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, unazidi kubainika baada ya rafiki zake kumkabidhi hundi hewa ya dola milioni 2.25 za Marekani.
Kiasi hichocha fedha kwa mwaka jana kilikuwa sawa na Sh bilioni 3.668.
Walinzi GGM watuhumiwa kwa ujambazi
Kashfa nzito imeukumba Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGM), baada ya baadhi ya walinzi wake kudaiwa kujihusisha na matukio ya ujambazi wa kutumia silaha.
Imedaiwa kuwa walinzi hao wanapomaliza kufanya matukio hayo yakiwamo ya utekaji na uporaji, fedha zinazopatikana huzitumia kuwaziba midomo baadhi ya viongozi wa vyombo vya dola wasiwafikishe katika mkono wa sheria.
Walinzi GGM watuhumiwa kwa ujambazi
Kashfa nzito imeukumba Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGM), baada ya baadhi ya walinzi wake kudaiwa kujihusisha na matukio ya ujambazi wa kutumia silaha.
Imedaiwa kuwa walinzi hao wanapomaliza kufanya matukio hayo yakiwamo ya utekaji na uporaji, fedha zinazopatikana huzitumia kuwaziba midomo baadhi ya viongozi wa vyombo vya dola wasiwafikishe katika mkono wa sheria.
Siri zavuja Bandari
- Bil. 67.507 kuimarisha sekta ya elimu sekondari Mkoa wa Lindi na Pwani
- Tanzania, Belarus zafungua ukurasa mpya wa ushirikiano
- Majaiwa akutana na Waziri Mkuu wa Belarus
- Rais mstaafu Msumbiji awasili Mtwara kumbukizi ya hayati Mkapa
- Maonyesho ya GEL yafungua milango ya mafanikio kwa wanafunzi wa Kitanzania
Habari mpya
- Bil. 67.507 kuimarisha sekta ya elimu sekondari Mkoa wa Lindi na Pwani
- Tanzania, Belarus zafungua ukurasa mpya wa ushirikiano
- Majaiwa akutana na Waziri Mkuu wa Belarus
- Rais mstaafu Msumbiji awasili Mtwara kumbukizi ya hayati Mkapa
- Maonyesho ya GEL yafungua milango ya mafanikio kwa wanafunzi wa Kitanzania
- Balozi Hamad akutana na Balozi wa Malawi, waweka mikakati ya ushirikiano
- Waziri Mavunde akagua maendeleo ujenzi wa jengo la ghorofa nane la TGC Arusha
- DC Mwakilema aipa kongole Muhimbili na Vodacom kwa huduma za matibabu Tanga
- Mafunzo ya uimarishaji mpaka kimataifa kuwajengea uelewa wataalam wa Tanzania na Burundi
- Rais Samia kuzindua bandari Kavu Kwala Julai 31
- Rais Samia atoa bilioni nne ujenzi kiwanda cha kuzalisha nishati mbadala
- Zanzibar yazindua mradi wa OCP School Lab Zanzibar
- Menejimenti AUWSA yaimwagia sifa TUICO, ni kwa kutoa mafunzo kwa wafanyakazi
- Mtoto ajinyonga baada ya kuiga maudhui ya chaneli ya KIX Arusha
- Polepole ni sikio la kufa…