Category: Siasa
RASIMU YA KATIBA MPYA 2013
Kimewaka
*Serikali ya Muungano kuwa na wizara nne
*Makao makuu ya Tanzania kuhamia Dar
* Tanganyika ni Dodoma , Wazanzibari wanalo
Mtuhumiwa Malele anaweza kuishitaki Polisi
. Ni kwa kumtangaza mgonjwa wa akili
Kijana aliyejitangaza kung’atuka ushirika wa mtandao uliohusika kumuua aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Liberatus Barlow, anaweza kulishitaki jeshi hilo kwa kumtangaza kuwa ni mgonjwa wa akili.
RASIMU YA KATIBA YA TANZANIA 2013
Hofu yatanda Z’bar
*Walio Tanganyika kugeuka wawekezaji
*Wasiwasi watanda, wanunua ardhi Bara
*Wahoji Tume ya Warioba kufuta Takukuru
Mapendekezo ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba Mpya ya kuondoa suala la ardhi katika mambo ya Muungano, yamezaa hofu kwa Wazanzibari wanaoishi Tanzania Bara na ndugu zao walioko Zanzibar.
….Makundi ya urais yayeyuka
Rasimu ya Katiba Mpya imeyanyong’onyeza makundi ya wanaowania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kwa muda mrefu kumekuwapo mjadala mkali wa nani anayestahili kuwania kiti hicho, lakini mbio hizo zimepunguzwa kasi na umaarufu wake, baada ya rasimu kupendekeza kuwapo kwa muundo wa Serikali Tatu – Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, na Tanzania Bara (Tanganyika).
Mwalimu Nyerere na mgombea binafsi
Mei mosi, 1995 Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere akiwa mgeni rasmi kwenye Sherehe za Mei Mosi mjini Mbeya, alizungumza mambo mengi yaliyolihusu Taifa. Miongoni mwa mambo hayo ni haki ya kuwapo mgombea binafsi. Ifuatayo ni sehemu ya maneno hayo ya Mwalimu ambayo sasa yamewekwa kwenye Rasimu ya Katiba Mpya ya mwaka 2013.
Tuhuma za ujangili: Mtutura awashukia wabaya wake, Kamanda Tossi
Wiki mbili zilizopita, Gazeti hili liliandika habari zinazohusu kukamatwa kwa msaidizi wa Mbunge wa Tunduru Kusini, Mtutura Mtutura, akiwa na bunduki za mbunge huyo zinazohusishwa kwenye matukio ya ujangili. Baada ya taarifa hiyo, Mtutura amejitokeza kukiri kukamatwa kwa bunduki hizo na ukweli wa mambo ulivyokuwa. Ifuatayo ni kauli ya mbunge huyo tunayoichapisha bila kuihariri.