Category: Siasa
Uendelezaji Kigamboni upo palepale – Serikali
Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, imesema nia ya kuendeleza Mji Mpya wa Kigamboni, ipo palepale.
Serikali mdaiwa sugu wa NHC
Kamati ya Bunge imeitaka Serikali ilipe deni la miezi 88 la Sh zaidi ya bilioni 3.145 inazodaiwa na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC).
Waziri: Benki zitambue Hatimiliki za Kimila
Serikali imezitaka benki ziwe tayari kupokea Hatimiliki za Kimila kwa ajili ya kuwasaidia wahusika kupata mikopo.
Tibaijuka apinga wananchi kupunjwa
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, amewahimiza wananchi kudai fidia stahiki pale maeneo yao yanapotwaliwa na Serikali kwa ajili ya maendeleo ya umma.
Bunduki za mbunge zanaswa kwa ujangili
*Zakutwa kwa msaidizi wake, ahukumiwa miaka miwili
*Mwenyewe atoa shutuma nzito bungeni dhidi ya polisi
Bunduki tatu za Mbunge wa Tunduru Kusini, Mtutura Mtutura, zimekamatwa kwa matukio ya ujangili katika Pori la Selous- Niassa, lililopo Tunduru -mpakani kwa Tanzania na Msumbiji.
RIPOTI MAALUMU
IGP Mwema ampa hifadhi ‘muuaji’ wa Barlow
*Apewa ulinzi wa polisi wenye silaha
*Anapewa huduma zote za kibinadamu
*Mbunge, Naibu Waziri wahusishwa ujangili
Kijana Mohamed Malele aliyejisalimisha kwenye vyombo vya ulinzi na usalama akijitambulisha kuwa mshirika wa mtandao uliohusika kumuua Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Liberatus Barlow, amepewa ulinzi maalumu.