Category: Siasa
Wanaofilisi PSPF wajulikana
*Mwenyekiti CCM atajwa, Serikali Kuu ndiyo inaongoza
*Takukuru, Usalama wa Taifa, wafanyabiashara wamo
SERIKALI na baadhi ya wafanyabiashara wakubwa nchini, ndiyo wanaoelekea kuufilisi Mfuko wa Pensheni wa Watumishi wa Umma (PSPF). Mfuko unawadai Sh trilioni 6.4. Wafuatao ndiyo wadaiwa wakuu.
Wazungu wamshitaki Waziri Kagasheki
*Yaliyoandikwa na JAMHURI yametimia
Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Khamis Kagasheki, ameshitakiwa katika Mahakama Kuu ya Tanzania. Mlalamikaji ni Kampuni ya raia wa kigeni inayojihusisha na uwindaji wa kitalii ya Foa Adventure Safaries Limited.
Tumerudi hewani
Mpendwa msomaji, Natumaini hujambo na unaendelea vyema. Kutokana na sababu zilizoko nje ya uwezo wetu, wavuti wetu haukuwa hewani kwa karibu miezi minne. Tumepigana kwa kila hali, tatizo hili limekwisha na sasa tunarejea hewani. Tunaahidi kuendelea kuwatumikia kwa hali…
DTB yatangaza Xpress Money
Taasisi ya fedha, Diamond Trust Bank (T) Ltd (DTBT), imetangaza rasmi huduma ya Xpress Money inayohamisha fedha kimataifa kwa kutumia mtandao kwa ada nafuu.
Vijiji vyanufaika na uhifadhi
Vijiji 23 katika Wilaya ya Longido mkoani Arusha, vimepokea Sh 106,927,900 kutoka Mfuko wa Uhifadhi unaojulikana kama Friedkin Conservation Fund, unaomiliki kitalu cha uwindaji wa kitalii cha Natron Kaskazini.
Mbowe afichua njama za CCM
*Asema Sh bil. 29 ni za kuibakiza madarakani
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amesema Sh bilioni 29 zilizotengwa na Serikali kwa ajili ya Presidential Delivery Unit (Kitengo cha Kufuatilia Ufanisi wa Miradi), zitatumiwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuhakikisha kinabaki madarakani.