Category: Kitaifa
Defao alipaswa kuwa Dar siku aliyokufa
TABORA Na Moshy Kiyungi Wiki mbili tu baada ya Gazeti la JAMHURI kuandika maisha ya mkongwe wa muziki wa Afrika na raia wa DRC, Lulendo Matumona, maarufu Le Jenerali Defao, taarifa zikasambazwa kuwa amefariki dunia. Katika toleo la gazeti hili…
Dk. Biteko ageuka mbogo
KAHAMA Na Antony Sollo Waziri wa Madini, Dk. Dotto Biteko, ameagiza kusimamishwa kazi maofisa saba wa madini wa mikoa mbalimbali kutokana na utovu wa nidhamu. Akizungumza na wafanyabiashara wa madini wa Kanda ya Ziwa mjini hapa, Dk. Biteko amesema wapo…
Waziri Mkuu anena
RUANGWA Na Deodatus Balile Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa Majaliwa, amevunja ukimya dhidi ya watu wanaomsakama mitandaoni wakidai anataka kugombea urais mwaka 2025, akiwataja kuwa watu hao wana nia ya kumchafua na kuvuruga utulivu na kasi…
TAKUKURU wambambikia kesi mwandishi
*Watumia taarifa walizopewa na JAMHURI kutaka kuuzima ukweli *Kamanda wa TAKUKURU Arusha amchuuza Mhariri, amlengesha *Ashiriki ubambikiaji kesi huku mtuhumiwa akitamba kuiweka mfukoni Serikali *Naibu Mkurugenzi Mkuu bila kusikiliza asema kesi iendelee, ni jinai ARUSHA Na Mwandishi Wetu Katika hali…
Mshirika wa Mnyeti matatani
*Ni mfanyabiashara Arusha adaiwa kushiriki uwindaji haramu *TAWA wapelekewa picha kuthibitisha uharibifu anaodaiwa kushiriki *Amewahi kutozwa faini kwa kujaribu kutorosha madini *Aomba JAMHURI lisiandike chochote akidai ‘haya mambo yananipa presha’, abadilika ARUSHA Na Mwandishi Wetu Wakati Taasisi ya Kuzuia na…
Maofisa mikopo wa benki lawamani
Na Alex Kazenga Dar es Salaam Idara za mikopo katika baadhi ya benki zilizopo nchini zinatupiwa lawama kwa kuwa na wafanyakazi wasio waaminifu wanaozitumia kutapeli mali za watu. Baadhi ya wakopaji na wadhamini akiwamo Mohammed Kipanga ambaye ni mkazi wa…