Category: Kitaifa
Walivyojipanga kuihujumu SGR
*Waibua hoja zilizokufa wakati wa Rais Magufuli, masilahi binafsi yatangulia *Mawaziri, makatibu wakuu wameelewa, watendaji wapingana na sheria ya ununuzi *Mkono wa Kenya watajwa katika vita ya biashara ya reli kubeba mizigo ya majirani *Yadaiwa kuna kampuni zimejipanga kushinda zabuni…
Waliofaulu vizuri wakataliwa Polisi
DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Vijana wanaotaka kujiunga na Jeshi la Polisi wamelalamika majina yao kuondolewa katika orodha kwa kile wanachokitaja kuwa ni baada ya kufaulu kwa kiwango cha daraja la kwanza na la pili katika mitihani yao ya…
Lowassa amkingia kifua Rais Samia
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, amesema anakerwa na baadhi ya wanasiasa wanaoeneza maneno ya chuki, kupalilia uhasama na kumtupia lawama zisizomhusu Rais Samia Suluhu Hassan. Kutokana na mwenendo huo, amewataka wajue kuwa wanashiriki…
Makamba na ‘uchungu wa mimba’ ya TANESCO
Waziri wa Nishati, January Makamba, Septemba 17, mwaka huu alizungumza na watendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) jijini Dar es Salaam. Ziara hiyo, pamoja na mambo mengine, ilisukumwa zaidi na tatizo sugu la kukatika umeme nchini mara kwa mara…
Pazia urais 2025 lafungwa
*Ameamua kuvunja kikombe, wenye nia na urais wasubiri hadi 2030 *Queen Sendiga: Wanawake tukikosea 2025 tutasubiri kwa miaka 100 *Dorothy Semu ataka kwanza awajengee wanawake uwezo kiuongozi DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Wakati ndoto za kugombea urais mwaka 2025…
Polisi walikoroga
NA MWANDISHI WETU SHINYANGA Shinikizo linawekwa kwa Jeshi la Polisi Wilaya ya Bukombe mkoani Shinyanga kumchukulia hatua za kisheria mwalimu anayetuhumiwa kumuua mkewe ambaye pia ni mwalimu, kisha ‘kuigiza’ kuwa amejinyonga. Katika kibali cha mazishi, inathibitishwa kuwa chanzo cha kifo…