Category: Kitaifa
DC ampa ardhi aliyechoma moto nyumba za wananchi
*Mwenyewe adai alipewa eneo hilo na Sokoine mwaka 1983 KIBAHA Na Mwandishi Wetu Wananchi wa Lupunga, Kibaha mkoani Pwani wamepigwa butwaa baada ya mwekezaji aliyewachomea moto makazi yao kuthibitishwa kuwa ndiye mmiliki halali wa eneo hilo. Wakazi hao, wengine wakiwa…
MWAKA MMOJA MADARAKANI… Rais Mwinyi kuwalipa waliotapeliwa ‘DECI’
ZANZIBAR Na Mwandishi Wetu Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameahidi kuwalipa watu waliotapeliwa mabilioni ya fedha kwa njia ya upatu. Akizungumza wakati wa maadhimisho ya mwaka mmoja wa uongozi wa Awamu ya…
Miaka 60 ya Uhuru Madini yadhibitiwa kutoroshwa nje
DODOMA Na Mwandishi Wetu Kuelekea kilele cha miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania kitakachofanyika Desemba 9, mwaka huu, Waziri wa Madini, Dotto Biteko, amesema sekta ya madini imepata mafanikio makubwa kwa kuzuia utoroshaji wa madini kwenda nje ya nchi Biteko…
Membe amwaga siri Magufuli alivyomfitini
DAR ES SALAAM Na Dennis Luambano Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe (68), hatimaye amefichua mambo yaliyomfanya asielewane na aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, Dk. John Magufuli. Membe ambaye ni mmoja wa…
Gambo lawamani
*Baraza la Madiwani Arusha, Mkurugenzi, Mbunge kila mtu na lake *Doita: Mbunge au diwani kutoa maelekezo nje ya vikao ni uchochezi *RC, TCCIA wasema kazi inaendelea, wakagua maeneo mapya ya wamachinga ARUSHA Na Mwandishi Wetu Utekelezaji wa agizo la Rais…
Wananchi wadhulumiwa ardhi yao na mwekezaji
• Wachomewa nyumba, waibiwa vitu • Polisi wahusika kusimamia uchomaji nyumba KIBAHA Na Mwandishi Wetu Wananchi wa Lupunga, Kibaha mkoani Pwani, wameuomba uongozi wa wilaya kuingilia kati kutatua mgogoro kati yao na mwekezaji mwenye asili ya Uarabuni kabla damu haijamwagika….