Category: Kitaifa
Mbunge: Makubwa yamefanywa Ardhi
DODOMA Na Suleiman Sultan Mbunge wa Viti Maalumu (CCM), Khadija Hassan Aboud, amesifu utendaji wa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi, akisema ameleta mabadiliko katika utoaji haki, kupunguza dhuluma, uonevu na kuondoa migogoro mingi nchini. Akizumgumza…
UCHAGUZI KIDATO CHA V… Profesa Ndalichako unatesa maskini
DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Wiki iliyopita serikali imetangaza majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano na vyuo mbalimbali, kilichowashtua wengi ni namna uchaguzi huo ulivyofanywa. Wazazi wengi wanalia; hasa wale maskini ambao hawana uwezo wa kuwapeleka…
Siri imefichuka
*JAMHURI latonywa jinsi mtandao ulivyofanya kazi *Wastani wa vibali feki 500 hutolewa kila mwezi mipakani *Mabilioni ya fedha yachotwa kati ya 2015 – 2020 *Maofisa Uhamiaji waadilifu waadhibiwa, wafukuzwa *Waliomgalagaza raia na kumtesa wasimamishwa kazi DAR ES SALAAM Na Mwandishi…
Rungu la Majaliwa latua Hazina
*‘Wajanja’ walamba Sh milioni 400 kwa siku ‘kwa kazi maalumu’ DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewasimamisha kazi maofisa wa ngazi za juu wa Wizara ya Fedha na Mipango wakikabiliwa na tuhuma za ubadhirifu wa fedha…
BoT yawaondoa hofu wananchi
DAR ES SALAAM Na Costantine Muganyizi Licha ya kuwapo changamoto hasa za kibiashara zinazotokana na athari za janga la virusi vya corona duniani, mwenendo wa uchumi wa taifa unaridhisha na kuleta matumaini ya kuzidi kuimarika kuanzia mwaka huu. Hiyo ni…
Malima aonya usafirishaji binadamu
TANGA Na Oscar Assenga Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Adam Malima, amewatumia salamu mawakala wa wahamiaji haramu ambao wanautumia mkoa huo kuwapitisha na wale wanaopitisha dawa za kulevya, akionya wasijaribu kufanya hivyo, maana watakachokutana nacho kitakuwa historia kwao. Malima ameyasema…