JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

TBS walikoroga

Shirika la Viwango Tanzania (TBS) wamelikoroga baada ya kutoa matokeo ya uchunguzi yaliyojaa utata kuhusu shehena ya mahindi kutoka nchini Marekani ambayo imekaa bandarini kwa miaka miwili.  Uchunguzi wa Gazeti la JAMHURI umebaini kwamba Oktoba mwaka jana Mamlaka ya Usimamizi…

Utendaji wa Puma wamkuna Kalemani

Waziri wa Nishati, Dk. Medard Kalemani, amesema serikali inaridhishwa na utendaji wa Kampuni ya kuagiza na kuuza mafuta ya Puma Energy Tanzania Limited na kuitaka kuendelea kuboresha shughuli zake hapa nchini. Dk. Kalemani ameyasema hayo jijini Dar es Salaam mwishoni…

Kilichomponza Makonda

Misimamo mikali ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, kwenye masuala yenye utata mkubwa inatajwa kama sababu kubwa ya Marekani kumwekea vikwazo vya kusafiri kwenda kwenye nchi hiyo kubwa kiuchumi na kijeshi duniani. Wiki iliyopita taarifa iliyotolewa…

Mali zilizoporwa Lupembe zarejeshwa kwa agizo la Bashe

Ziara iliyofanywa na Naibu Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe, mkoani Njombe hivi karibuni imesaidia kurejeshwa kwa mali za ushirika zilizokuwa zimeporwa na viongozi wasio waaminifu wa ushirika wa eneo la Lupembe, mkoani humo. Kaimu Naibu Mrajisi wa Vyama vya Ushirika…

Waliokufa kwa kukanyagana waanza kuzikwa

Mazishi ya watu 20 waliofariki dunia katika tukio linalotajwa kuwa baya kuwahi kutokea katika Mkoa wa Kilimanjaro kwa kukanyagana wakati wakigombea mafuta ya magonjwa mbalimbali yameanza. Watu hao walifariki dunia Jumamosi iliyopita katika viwanja vya Majengo baada ya ibada iliyoendeshwa…

Wajumbe kamati za ardhi waaswa

Wajumbe wa kamati za Urasimishaji Ardhi Kata ya Vikindu, wilayani Mkuranga, Mkoa wa Pwani wametakiwa kufanya kazi kwa weledi ili kupunguza migogoro ya ardhi maeneo ya vijijini. Kauli hiyo imetolewa hivi karibuni na Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga, Fillberto Sanga,…