Category: Kitaifa
UNYANYASAJI WA URAIA… Kwa hiari ninaikabidhi Serikali silaha yangu
NGARA NA MUSHENGEZI NYAMBELE Kwenye Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumteua mgombea urais mwaka 1995, Mwalimu Julius Nyerere alisimulia kilichomtokea New York, Marekani mwaka 1994. Alikaribishwa na Getrude Mongela (wakati huo Katibu wa Mkutano wa kina mama wa…
Mnyeti kama Sabaya
*Alalamikiwa Tume ya Haki za Binadamu *Adaiwa kujiundia tume kinyume cha sheria *Mwenyewe ajitetea kwa kumwaga matusi DAR ES SALAAM NA MWANDISHI WETU Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Alexander Mnyeti, analalamikiwa na mfanyabiashara, Dk. Hamis Kibola, katika Tume ya…
Benki ya Kilimo yatoa Sh bilioni 1.15
IRINGA Na Mwandishi Wetu Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) kwa kushirikiana na Clinton Development Initiative (CDI) imejipanga kutoa mikopo ya Sh bilioni 1.15 kufungua mnyororo wa thamani wa zao la soya mkoani hapa. Kwa mujibu wa randama ya…
Chanjo ya corona kufufua utalii
DODOMA Na Mwandishi Wetu Serikali imepongezwa kwa kuruhusu chanjo ya ugonjwa wa homa kali ya mapafu inayosababishwa na virusi vya corona (COVID-19), hatua itakayofungua milango katika sekta ya utalii nchini. Sekta hiyo ambayo ni moja ya vyanzo vikuu vya mapato…
‘Wametuangusha’
*Wananchi wawatupia lawama wabunge kuhusu tozo kwenye miamala *Wamgeukia Rais wakimuomba atafute namna ya kufanya *Profesa wa uchumi adai ingawa ni ngumu, inawezekana *Wakala M-Pesa: Kuna ‘watu’ wanataka kumkosanisha Mama na wananchi *Simu ya Azzan Zungu yawa yamoto, haipokeleki DODOMA…
Mambo ya Nje haijamchukulia hatua Balozi
DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Katika hali ya kushangaza, wiki tatu baada ya JAMHURI kuandika taarifa ya Balozi anayejihusisha na usafirishaji mabinti kwa njia isiyo halali, bado Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa haijachukua hatua yoyote….



