Category: Kitaifa
Tanzania yaadhimisha miaka 51 ya madini ya Tanzanite
Kwa mara ya kwanza Tanzania imeadhimisha miaka 51 tangu kuvumbuliwa kwa madini ya kipekee ulimwenguni, Tanzanite. Maadhimisho hayo yalidogoshwa kutokana na Taifa la Tanzania kuwa katika maombolezo kwa siku tatu mfululizo kufuatia ajali ya kivuko cha Mv Nyerere Alhamisi wiki…
LISHE DUNI NA ULAJI USIOFAA NI ADUI WA MAENDELEO NCHINI-MAJALIWAPicha
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI LISHE DUNI NA ULAJI USIOFAA NI ADUI WA MAENDELEO NCHINI-MAJALIWA *Asema ni chanzo cha magonjwa yasiyoambukiza kama saratani, kisukari na moyo *Asisiza wananchi kuzingatia ulaji unafaa na kubadili mitindo ya maisha …
WAZIRI MKUU AKATISHA ZIARA DODOMA, AENDA UKEREWE
WAZIR MKUU Kassim Majaliwa amekatisha ziara ya mkoa wa Dodoma na kuelekea Ukerewe Mwanza kuwafariji wananchi waliopatwa na maafa kutokana na ajali ya kivuko cha MV Nyerere. Waziri Mkuu ambaye alikuwa na ziara ya kikazi ya siku saba katika mkoa…
Updete Ajali ya Mv Nyerere Mwanza
RC wa Mwanza, John Mongela amesema idadi ya watu waliofariki kwa ajli ya #MvNyerere kuzama Ziwa Victoria imeongezeka na kufikia 94 leo asubuhi. DC Ukerewe amesema Kivuko kilikuwa na uwezo wa kubeba abiria 100 na tani 25 za mizigo, lakini…
Miili 44 ya waliofariki katika Kivuko inavyotolewa majini
Zoezi la uokoaji wa abiria waliokuwemo katika kivuko cha MV Nyerere kilichozama limesitishwa kutokana na giza na litaendelea leo alfajiri ambapo Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongela amesema mpaka sasa watu waliyookolewa wakiwa hai ni 37 na waliopoteza maisha…
Emmanuel Amunike Aenda Mapumzikoni Hispania
Baada ya kuingoza Taifa Stars kwenda suluhu ya kutofungana na Uganda The Cranes katika mchezo wa kuwania kufuzu kucheza AFCON 2019, Kocha Emmanuel Amunike amekwea pipa kuelekea Hispania. Amunike ameondoka nchini na shirika la ndege ‘Qatar Airways’ kuelekea nchini huko…