JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Wanafunzi Moshi wajisaidia vichakani

Ukosefu wa vyoo katika baadhi ya shule za msingi na sekondari Wilaya ya Moshi umechangia kwa baadhi ya wanafunzi kujisaidia vichakani na wengine kwenye vyoo vya wananchi wanaoishi karibu na shule hizo. Hatua hiyo imetokana na baadhi ya miundombinu ya…

Zakaria amkaanga Luoga

Siku kadhaa baada ya Rais John Magufuli kutengua uteuzi wa aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Tarime, Glorious Luoga, mfanyabiashara maarufu, Peter Zakaria, ambaye yuko mahabusu ameibua mambo mapya yanayomhusu Luoga. Zakaria ambaye amezungumza na Gazeti la JAMHURI kupitia kwa msemaji…

Magufuli achukua mkondo mpya

Ugumu wa upatikanaji wa fedha ulioibua msemo maarufu wa “vyuma vimekeza”, umebadilika kwa serikali kuanza ‘kulegeza’ baadhi ya mambo. Manung’uniko yameanza kupungua mitaani ambako fedha ziliadimika kwa kiwango kikubwa kuanzia mwaka 2016, lakini Rais John Magufuli akisema waliokuwa wakilalamika ni…

MPITA NJIA

Bunge na madereva wa wabunge…!   Umri wa Mpita Njia (MN) unatosha kumfanya awe na kumbukumbu ya mengi – kuanzia zama za ukoloni hadi uongozi wa Awamu hii ya Tano. Anakumbuka zama zile za ubaguzi ambapo Mzungu alikuwa mtu wa…

Wawekezaji waanza na elimu Ulanga

Kampuni ya uchimbaji madini ya kinywe – Mahenge Resources imejitolea kuboresha sekta ya elimu katika Wilaya ya Ulanga, mkoani Morogoro. Kampuni hiyo kwa kushirikiana na serikali ya wilaya imechangia Sh milioni 16 kwenye harambee maalumu iliyoandaliwa na Mkuu wa Wilaya…

Mlungula wadaiwa kuvuruga vigogo TFDA, Jiji Mwanza

Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA) Kanda ya Ziwa imeingia ‘vitani’ na Halmashauri ya Jiji la Mwanza ikizuia maofisa wa jiji hilo kufanya ukaguzi kwenye maduka ya vipodozi, dawa na maeneo mengine ya kibiashara. Haya yanafanyika huku Ofisi ya…