Category: Kitaifa
Mbakaji afungwa miaka 60 Siha
Mahakama ya Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro, imemhukumu kifungo cha miaka 60 jela mkazi wa Kijiji cha Lawate wilayani humo kwa makosa mawili ya kubaka na kumwingilia kinyume cha maumbile mwanamke (jina tunalihifadhi). Hukumu hiyo ilitolewa mwishoni mwa wiki na…
Kamanda aliyemtetea polisi ‘mwizi’ ang’olewa Bandari
Utetezi uliofanywa na Kamanda wa Polisi Kikosi cha Bandari, SACP Robert Mayala, dhidi ya polisi anayetuhumiwa kuiba kofia ngumu ya pikipiki bandarini, umemponza. Mayapa alijitokeza kumtetea PC Stephen Shawa, anayetuhumiwa kujihusisha na wizi huo licha ya kamera za usalama kurekodi…
WAGONJWA WA MACHO 300 NCHINI WAFANYIWA UPASUAJI NDANI YA SIKU TANO
Mtaalam kutoka Taasisi inayojishugulisha na afya ya macho ONA Bi. Haika Urasa kulia akitoa miwani ya kusomea kwa mmoja wa wakazi wa Dodoma aliyefika kupata huduma. Mtaalamu wa magonjya yasiyoyakuambukiza Dkt. Nleminyanda Hezron akitoa huduma za kupima sukari kwa baadhi…
WAZIRI MKUU AWATAKA VIONGOZI WA WILAYA YA KYERWA WAJIPIME
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amechukizwa na biashara za magendo zinazoendelea katika wilaya ya Kyerwa mkoani Kagera, hivyo amewataka viongozi wa wilaya hiyo wajipime wenyewe. Pia, Waziri Mkuu amemuagiza Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoa wa Kagera Bw. Adam Ntogha…
MTWARA KUVUNA VIBE KAMA LOTE MSIMU HUU WA TIGO FIESTA 2018
MTWARA KUVUNA VIBE KAMA LOTE MSIMU HUU WA TIGO FIESTA 2018 Wateja wa Tigo kupata faida mara tatu kupitia promosheni za kusisimua Mtwara, Oktoba 13, 2018 – Huku msimu wa mavuno ya korosho ukiwa umewadia katika mikoa ya nyanda za…
Waziri Mkuu Achukizwa na Biashara za Magendo
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amechukizwa na biashara za magendo zinazoendelea katika wilaya ya Kyerwa mkoani Kagera, hivyo amewataka viongozi wa wilaya hiyo wajipime wenyewe. Pia, Waziri Mkuu amemuagiza Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoa wa Kagera Bw. Adam Ntogha kumsimamisha…



