JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Kigogo ACT – Wazalendo Kigoma atimkia CCM

Na Kulwa Karedia,Jamhuri lMedia, Kigoma Mratibu wa Kanda Chama cha ACT Wazalendo, Said Rashid, ametangaza rasmi kuondoka na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM). Amesema amefikia uamuzi huo baada ya kuvutiwa na utendaji wa serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan….

Serukamba: Kigoma tumchague Samia

Na Mwandishi Jamhuri Media, Kigoma Mgombea bunge wa Jimbo la Kigoma Kaskazini, Peter Serukamba, ametoa wito kwa wananchi wa Kigoma kumchagua mgombea urais wa chama hicho, Samia Suluhu Hassan. Amesema hatua hiyo inatokana na kumpa kura Rais Samia kupeleka maendeleo…

Waziri Katimba aeleza mafanikio ya Rais Samia

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Kigoma Mgombea ubunge wa Viti Maalum Mkoa wa Tabora na Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Zainabu Katimba, amewaomba wananchi wa Kigoma kumpa kura Rais Samia Suluhu Hassan kutokana na…

Bashiru awataka Tabora kulinda historia ya CCM

Na Mwandishi Wetu JamhuriMedia, Tabora Katibu Mkuu Mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Bashiru Ally amewataka wananchi wa Mkoa wa Tabora kutunza vema historia yaChama hicho. Amesema mkoa huo una historia ya kipekeee kwani mwaka 1958 chama hicho kulifanya…

Twendeni tukampe kura za heshima Samia-Nkumba

Na Mwandishi, JamhuriMedia, Tabora Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Tabora, Said Nkumba, amesema mgombea urais wa chama hicho, Samia Suluhu Hassan amefanya kazi kubwa kwa kupeleka sh trilioni 6.42 katika kuchagiza maendeleo mkoani humo. Amesema fedha hizo imegharamia miradi mbalimbali…

Viongozi CCM tuhimize wananchi kupiga kura – Dk Biteko

Mgombea Ubunge Jimbo la Bukombe, Ndugu Doto Mashaka Biteko amewahimiza viongozi wa Chama cha Mapinduzi ngazi Vitongoji, Vijiji na Kata kuhamasisha wananchi kujitokeza kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu ujao utakaofanyika Oktoba 29, mwaka huu. Dkt. Biteko amesema hayo Septemba 10,…