Category: Kitaifa
ACT -Wazalendo Zanzibar yazindua ilani, yataja sera nne zitakazoinusuru Zanzibar
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha ACT Wazalendo ,Othman Masoud Othamn amezindua rasmi Ilani ya Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar kwa mwaka 2025 -2030 huku akihaidi kurejesha imani kwa Wazanzibar kwa kuweka mbele…
Katibu Chadema Mwanza ajiunga CCM
Aliyekuwa Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Mkoa wa Mwanza, Boniphace Mkoaba ameamua kukihama chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM). Mkoba amepokelewa na Katibu Mkuu wa CCM, Dk Asha Rose Migiro mbele ya mgombea urais wa…
Samia alivyongarisha miradi yakimkakati Mwanza, mazuri yanakuja
Na Kulwa Karedia-Jamhuri Media-Mwanza MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan amesema Mkoa wa Mwanza umepata Sh trilioni 5.6 kwa ajili ya miradi mbalimbali ya maendeleo. Ametoa kauli hiyo wakati akihutubia maelfu ya wananchi kwenye uwanja…
ACT Wazalendo yakabidhi magari kufuatilia uchaguzi
Chama cha Alliance for Change and Transparency (ACT-Wazalendo) kimekabidhi kamati ya ushindi magari saba aina ya Toyota Alphard kwa ajili ya kufuatilia matukio yote ya uchaguzi katika wilaya saba za Unguja. Makabidhiano hayo yamefanywa na Mgombea Urais wa Zanzibar wa…
ADC kufuta misamaha ya kodi
Chama cha Alliance for Democracy Change (ADC) kimesema serikali yake itafuta misamaha ya kodi na kuondoa punguzo kwa bidhaa zote zinazoingizwa kutoka nje ya nchi wakati zinapatikana hapa nchini. Ilani ya uchaguzi ya chama hicho ya mwaka 2025-2030 imesema itapunguza…





