JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Mbunge Mafia alia na Dk Machumu

Mbunge wa Mafia, Mbaraka Dau amesema Taasisi ya Hifadhi ya Bahari na Maeneo Tengefu (MPRU) imekuwa ikiwaibia mapato halmashauri ya Mafia, yatokanayo na ada ya tozo la kiingilio kwenye maeneo iliyoyachukua kwa ajili ya shughuli za uhifadhi. Dau amesema taasisi…

Awadhi awatumia salamu madereva

Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Dar es Salaam, ACP Awadhi Haji amewataka askari wote wa Usalama barabarani katika Mkoa wake kusimamia maadili ya kazi hiyo na kuonya juu ya askari wanaoendelea kujihusisha na vitendo vya upokeaji rushwa….

Uhamiaji watoa pasipoti kinyemela

Idara ya Uhamiaji imeanza uchunguzi kuwapata watumishi wake walioshiriki kumpa hati ya kusafiria, Mkurugenzi wa shirika lisilo la serikali (NGO) la Pastoral Women Council (PWC), Maanda Ngoitiko, anayedaiwa kuwa ni raia wa Kenya. Shirika hilo linaloendesha shughuli zake Ngorongoro mkoani…

Madini moto

Serikali imetafuna mfupa mgumu ambao umepigiwa kelele na wananchi kwa muda mrefu, kwa kupeleka bungeni miswada wa marekebisho ya sheria kuwapa Watanzania haki ya kufaidi madini yao. Sheria zinazopendekezwa kurekebishwa ni; Sheria ya Madini, Sura ya 123(The Mining Act, Cap.123),…

Loliondo tena

Mkakati mahsusi umeandaliwa na raia wa kigeni kwa ushirika na taasisi mbili zisizo za kiserikali (NGOs) za hapa nchini, ukilenga kuichafua Serikali kupitia mgogoro wa ardhi katika Pori Tengefu la Loliondo, Ngorongoro mkoani Arusha, JAMHURI limebaini. Raia wa Uingereza na…

TMF yaipa ruzuku JAMHURI

Wakufu wa Vyombo vya Habari Tanzania (TMF) umelipatia Gazeti la JAMHURI Ruzuku ya Mabadiliko (Transformation Grant) kwa ajili ya kufuatilia habari za uchunguzi. Gazeti la JAMHURI, limepata fursa ya kupewa ruzuku sambamba na gazeti jingine la Mwanahalisi, na redio nne…