JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Zavala ‘wasotea’ umeme miaka 7

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa wa Pwani, limesema wananchi wa Zavala, Kata ya Chanika wataanza kupelekewa huduma ya umeme wiki hii. Meneja wa Tanesco Mkoa wa Pwani, Injinia Martin Madulu, ameithibitishia JAMHURI kuwa maandalizi yote kwa ajili ya kazi…

Bandari balaa

Uongozi wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) ambao umeshikwa na baadhi ya viongozi walioshiriki kwenye upotevu wa maelfu ya makontena, unafanya kila mbinu kujinasua kwenye kashfa hiyo. Juhudi hizo za kujinasua zinatokana na Gazeti la JAMHURI kuwataja kwa majina na…

Polisi, Magereza wadaiwa sugu Moshi

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mjini Moshi (MUWSA) imezitangaza rasmi taasisi tatu za Serikali mkoani Kilimanjaro kuwa ni wadaiwa sugu. Taasisi hizo ni Ofisi ya Kamanda wa Polisi Mkoa (RPC) wa Kilimanjaro, Chuo cha Taaluma ya Polisi (MPA),…

RC, wana mazingira watifuana K’njaro

Wanaharakati wa mazingira mkoani Kilimanjaro wamemtaka Mkuu wa Mkoa huo, Amos Makalla (pichani), kufuta maagizo yake ya kuzitaka halmashauri za wilaya kuvuna magogo katika misitu ya asili kwa ajili ya kutengeneza madawati. Makalla akiwa wilayani Same hivi karibuni, alitoa maagizo…

JPM avalia njuga rushwa kortini

Rais Dk. John Magufuli ametikiswa na ripoti ya rushwa katika mahakama za Tanzania. Ameanza kulivalia njuga suala hilo kwa kasi ya ajabu. Mbali ya madai ya kubambika kesi kunakofanywa na Jeshi la Polisi, taarifa mpya zilizotua mezani kwa Rais Dk….

Rais Magufuli ainusuru Burundi

Tanzania imeinusuru Burundi kushambuliwa na majeshi ya Umoja wa Afrika (AU) baada ya kushauri na kusikilizwa kuwa pande zinazokwaruzana zichukue mkondo wa mazungumzo badala ya kuendelea na vita inayoweza kuiingiza nchi hiyo katika mauaji ya kimbari. Waziri wa Mambo ya…