JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Dk. Magufuli amgeuzia kibao Lowassa

Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli amewataka Watanzania kupuuza majigambo ya vyama vya ushindani akidai endapo watashinda uchaguzi huu, watawatesa wananchi. Kadhalika, Dk. Magufuli ameshangazwa na mabosi wake wa zamani-mawaziri…

Lowassa: Sitaki mizengwe 2015

Mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, ameweka kando majibu ya tafiti zote na badala yake, ameelekeza masikio yake Oktoba 25, mwaka huu. Katika kusisitiza hilo, Lowassa ameonya mizengwe inayoripotiwa kufanywa na Serikali ya Chama Cha…

Lowassa abadili gia

Mgombea urais kupitia Chama Cha Demokrasi na Maendeleo (CHADEMA) anayewakilisha vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), Edward Lowassa, sasa ameamua kutumia helikopta tano katika kampeni zake. Uamuzi huo unalenga kuimarisha kampeni zake ikiwa ni takribani mwezi mmoja kabla…

Mbowe: Hawachomoki

Mwezi mmoja wa kampeni, Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) umetamba kuwa utashinda Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba, 25, mwaka huu. Ukawa wanaowakilishwa na mgombea urais kutoka Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, wanasema Chama Cha Mapinduzi (CCM)…

Bodi ya Kahawa kwafuka Moshi

Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Kahawa Tanzania (TCB), Adolf Kumburu, anachunguzwa na vyombo mbalimbali vya uchunguzi kuhusiana na madai ya matumizi mabaya ya ofisi ya umma. Kiini cha uchunguzi huo ni zabuni ya kuhuisha ya mashine ya mnada (upgrading) ambayo…

Dk. Magufuli hashikiki

Hotuba za mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, zenye mwelekeo wa kuileta Tanzania mpya, zimeonekana kuwakuna wengi. Dk. Magufuli, hotuba zake zimekuwa zikiwagusa wananchi kutokana na kugusa kero zinazowakabili moja kwa moja. Kwa wale wanaotaka mabadiliko,…