Category: Kitaifa
Putin anakuja Tanzania
Obama anataka niwe Rais Tanzania-Waziri
*Wabunge wakataa ‘hongo’ ya safari ughaibuni aliyowaahidi
*Ripoti aliyowasilisha yatupwa, wasema imejaa ubabaishaji
*Msanii aliyekuwa Marekani na Nyalandu, Aunty Ezekiel anena
Waziri aonya rushwa Zimamoto
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Pereira Silima, amewataka askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kuepuka tamaa hasa vitendo vya kupokea rushwa.
Kibao chawageukia Al-Shabaab, Boko Haram
INTELIJENSIA ya Serikali za Nigeria na Somalia, zimeshtukia mipango ya makundi ya kigaidi ya Al-Shaabab na Boko Haram yaliyopanga kuungana, lakini mambo yamewawia ugumu.
Aunty Ezekiel atanua na Nyalandu Marekani
*Ni msanii aliyedokezwa na gazeti hili wiki iliyopita
*Mrembo akiri walikuwa pamoja kutangaza utalii
*Asisitiza sehemu kubwa ya bajeti ilitoka wizarani
*Yaelezwa ndicho kilichomkera Rais Kikwete Marekani
Ni ufisadi wa kutisha Geita
Viongozi wa kijiji wajichotea fedha ‘kiulaini’
Vigogo watatu wa Kijiji cha Mawemeru kilichopo katika Kata ya Nyarugusu, Wilaya ya Geita, mkoani hapa wanatuhumiwa kujigeuza “Miungu-watu” kwa kutafuna fedha za wanakijiji Sh 50 milioni.
Kwa nafasi hiyo, vigogo hao wanadaiwa kukigeuza kijiji hicho “shamba la bibi” huku wananchi wanaojitokeza kuhoji taarifa ya mapato na matumizi wakitishwa na wengine wakiishia kuswekwa ndani.
Vigogo waliokumbwa na tuhuma hizo ni Ofisa Mtendaji wa Kijiji, Agness Matibu, Mwenyekiti wa Kijiji, Mussa Maduhu, pamoja na Mchumi, Philipo Kamuye, ambao, kwa kushirikiana wanadaiwa kutafuna kiasi hicho cha fedha.
Fedha hizo, zaidi ya Sh 50 milioni zinatokana na vyanzo vya ndani vya mapato yatokanayo na kijiji. Kadhalika sehemu ya fedha hizo hutokana na mapato yatokanayo na wawekezaji wa ndani na kutoka nje ya nchi.
Vyanzo vya gazeti hili vilidai kuwa vigogo hao kwa pamoja wameshirikiana kufisadi mapato ya kijiji na kwamba suala lolote linalohusu fedha zitokanazo na vyanzo hivyo, hakuna mwananchi anayeruhusiwa kuhoji na hawajawahi kusomewa taarifa za mapato na matumizi tangu mwaka 2011.
- Wananchi Kwimba wameishukuru Taasisi ya Doris Mollel kwa ufadhili wa jengo la kisasa
- JKCI, ABC Group kushirikiana kufikisha huduma za matibabu ya moyo kwa wananchi
- Naibu Waziri Dk Dugange awasili Kagera kwa ziara ya kikazi
- Dk Nchimbi kuwasili kesho Ruvuma, mgeni rasmi maadhimisho ya Mashujaa wa Vita ya Majimaji
- Ulega aridhishwa na matengenezo ya barabara ya Dodoma – Iringa
Habari mpya
- Wananchi Kwimba wameishukuru Taasisi ya Doris Mollel kwa ufadhili wa jengo la kisasa
- JKCI, ABC Group kushirikiana kufikisha huduma za matibabu ya moyo kwa wananchi
- Naibu Waziri Dk Dugange awasili Kagera kwa ziara ya kikazi
- Dk Nchimbi kuwasili kesho Ruvuma, mgeni rasmi maadhimisho ya Mashujaa wa Vita ya Majimaji
- Ulega aridhishwa na matengenezo ya barabara ya Dodoma – Iringa
- Serikali yaongeza kasi kuimarisha usalama barabarani kupitia mafunzo ya kitaalamu
- Dk Magembe : Hakuna mgonjwa wa kipindupindu, awataka wananchi kuchukua tahadhari
- Mwanasheria Mkuu ahimiza mageuzi ya sheria za anga kukabiliana na AI na teknolojia mpya
- Malalamiko ya viwanja mbadala yapatiwa ufumbuzi Dodoma
- TBS yawakumbusha wazalishaji, wauzaji, wasambazaji kuzingatia usajili wa bidhaa
- Serikali yaweka mkakati wa kutangaza Tanzanite na madini ya vito nchini Qatar
- Ilala yajivunia mafanikio ya ilani kipindi cha miaka minne ya Rais Samia
- RC Chalamila akutana na Gavana wa Jimbo la Maniema – Congo DRC
- JK aweka saini kitabu cha maombolezo kifo cha Askofu Mkuu Mstaafu Kardinali Pengo
- Mwenyekiti CCM Dk Samia aongoza Kikao cha Kamati Kuu Dodoma