Category: Kitaifa
Bagamoyo wamegewa neema nyingine
*Vijiji 20 kugawiwa fedha, chakula, elimu
Wakati bado mjadala wa upendeleo wa wilaya yake ukiendelea kumwandamana Rais Jakaya Kikwete, mradi mwingine wa mabilioni ya shilingi umepelekwa katika vijiji 20 vya Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani.
Bila kudhibiti NGOs Loliondo haitatulia
Kwa mara nyingine, Loliondo imetawala kwenye vyombo vya habari vya ndani na nje ya nchi. Sina desturi ya kuitetea Serikali, lakini hiyo haina maana kwamba inapoamua kufanya jambo la manufaa kwa vizazi vya sasa na vijavyo, nishindwe kuitetea.
BAADA YA KUANIKA MADUDU…
Ofisi ya CAG sasa yasambaratishwa
*Naibu CAG aondolewa, Utouh atakiwa ajiandae kung’atuka
Hasira za watendaji kadhaa wa Serikali Kuu, Serikali za Mitaa, Mashirika ya Umma na taasisi mbalimbali dhidi ya Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, zimeanza kuzaa matunda baada ya kuwapo mpango wa kuwang’oa viongozi wake wakuu.
Mvutano uchinjaji Mbeya
Hivi karibuni kumezuka vurugu baina ya Wakristo na Waislamu katika mji wa Tunduma mkoani Mbeya, wakigombea uchinjaji mifugo ingawa siku zote Waislamu ndiyo wamekuwa wakitekeleza jukumu hilo.
India yakubaliwa kuchimba dhahabu, almasi Tanzania
Serikali ya Tanzania imekubali ombi la Serikali ya India, la kutaka kuwekeza katika sekta ya nishati na madini nchini.
Udokozi bandarini ukomeshwe
Bandari ya Dar es Salaam ni mashuhuri katika nchi za Afrika Mashariki na Kati. Bandari hii, kwa muda mrefu, imekuwa kitovu cha biashara kati ya Tanzania na nchi za Afrika Mashariki na Kati zisizokuwa na bandari (land locked).
- Wenye viwanda na waajiri nchini waaswa
- TMA yatoa utabiri wa mvua za msimu, matarajio ni mvua chini ya wastani hadi wastani
- TANESCO Ruvuma yaanza kampeni ya majiko ya nishati safi ya kupikia
- TANROADS inaendelea na utekelezaji wa miradi ya bilioni 383/- Mbeya
- Dk Samia : Tutajenga kingo mto Kanoni kukomesha mafuriko Bukoba
Habari mpya
- Wenye viwanda na waajiri nchini waaswa
- TMA yatoa utabiri wa mvua za msimu, matarajio ni mvua chini ya wastani hadi wastani
- TANESCO Ruvuma yaanza kampeni ya majiko ya nishati safi ya kupikia
- TANROADS inaendelea na utekelezaji wa miradi ya bilioni 383/- Mbeya
- Dk Samia : Tutajenga kingo mto Kanoni kukomesha mafuriko Bukoba
- Trump kukutana na Zelenskyy baada ya kuzungumza na Putin
- Ruto: Nitakuwa mwaminifu kwa kile tulichokubaliana na Raila
- Waziri Mkuu aelezwa faida za kilimo ikolojia
- Serikali yaitaka NIDA kuboresha utendajikazi, yaipatia magari 140
- NLD imeweka vipaumbele vya kumwezesha kijana kujiajiri, yawaomba Watanzania wasifanye makosa Oktoba 29
- Mwili wa Raila kuagwa kwa siku ya pili leo Nairobi
- Guterres alaani jeshi kuchukua madaraka nchini Madagascar
- Papa Leo XIV: Kushindwa kuzuia njaa duniani ni dhambi
- Dk Mpango amwakilisha Rais Samia mkutano wa SADC
- Dk Mwinyi : Amani na umoja nguzo za maendeleo Zanzibar
Copyright 2024