Category: Kitaifa
Mbowe afichua njama za CCM
*Asema Sh bil. 29 ni za kuibakiza madarakani
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amesema Sh bilioni 29 zilizotengwa na Serikali kwa ajili ya Presidential Delivery Unit (Kitengo cha Kufuatilia Ufanisi wa Miradi), zitatumiwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuhakikisha kinabaki madarakani.
Mawaziri wagongana
*Dili ya uwekezaji yawafanya washitakiane kwa Waziri Mkuu
*Wajipanga kumkabili Kagasheki, naibu achekea kwenye shavu
Mawaziri wawili na wabunge kadhaa wameungana dhidi ya Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Khamis Kagasheki, kukoleza mgogoro ulioibuka Loliondo.
FCC yateketeza vipuri bandia
Tume ya Ushindani na Haki (FCC) nchini imeteketeza vipuri bandia vya magari, na kuwaonya wafanyabiashara kujiepusha kununua na kuuza bidhaa zilizoghushiwa.
Bagamoyo wamegewa neema nyingine
*Vijiji 20 kugawiwa fedha, chakula, elimu
Wakati bado mjadala wa upendeleo wa wilaya yake ukiendelea kumwandamana Rais Jakaya Kikwete, mradi mwingine wa mabilioni ya shilingi umepelekwa katika vijiji 20 vya Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani.
Bila kudhibiti NGOs Loliondo haitatulia
Kwa mara nyingine, Loliondo imetawala kwenye vyombo vya habari vya ndani na nje ya nchi. Sina desturi ya kuitetea Serikali, lakini hiyo haina maana kwamba inapoamua kufanya jambo la manufaa kwa vizazi vya sasa na vijavyo, nishindwe kuitetea.
BAADA YA KUANIKA MADUDU…
Ofisi ya CAG sasa yasambaratishwa
*Naibu CAG aondolewa, Utouh atakiwa ajiandae kung’atuka
Hasira za watendaji kadhaa wa Serikali Kuu, Serikali za Mitaa, Mashirika ya Umma na taasisi mbalimbali dhidi ya Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, zimeanza kuzaa matunda baada ya kuwapo mpango wa kuwang’oa viongozi wake wakuu.
Habari mpya
- Manyara yapitisha bajeti ya 2026/ 2027
- FCC yawataka waandishi kupaza sauti
- Watu 46 mbaroni kwa tuhuma za wizi na makosa ya kijinai Dar
- Dk Samia: Ulinzi imara, amani ni msingi wa maendeleo ya taifa
- JKCI yafungua kliniki mpya eneo la Soko Kuu la Kariakoo, yatoa huduma bure kwa siku saba
- Mbarawa :Treni ya mwendokasi kufika Mwanza 2028
- Tanzania kuwa mwenyeji wa Mpango wa Ununuzi wa Dawa na Vifaa Tiba Ukanda wa SADC
- Waziri Mkuu akagua miradi ya maendeleo Arusha
- Dk Jingu: Serikali inatambua mchango wa wazee
- Tusiwafiche familia mali zetu
- Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu yapata rais mpya
- Tanzania kuimarisha ushirikiano wa kibiashara na Singapore
- Prof. Shemdoe apiga ‘stop’ uhamisho wa watumishi wenye changamoto za kinidhamu
- REA yaanza usambazaji majiko banifu 6,692 Singida
- MIF 2026 kujadili mikakati ya kufikia uchumi wa kati wa juu 2050