JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

TRA yaibuka mshindi wa jumla tuzo za NBAA

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeshinda tuzo mbili ikiwemo mshindi wa jumla katika uandaaji bora wa taarifa za hesabu mwaka 2021 kwa kufuata viwango vya Kimataifa vya Uandaaji wa Hesabu katika Taasisi za Umma yaani mfumo wa…

Rais Samia awahimiza watunza kumbukumbu kuzingatia usiri

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, amewaagiza watunza kumbukumbu kutekeleza majukumu yao kwa mujibu wa Sera, Sheria, Kanuni na Miongozo ya kiutendaji ndani na nje ya Serikali. Rais Samia ametoa agizo hilo leo wakati akifungua…