Category: Kitaifa
Ruvuma wapokea wawekezaji kutoka Misri
MILANGO ya uwekezaji mkoani Ruvuma imefunguka baada ya wawekezaji kwenye sekta ya kilimo kutoka nchini Misri kuwasili mkoani Ruvuma. Wawekezaji hao wanatarajia kuwekeza katika zao la mahindi ya njano ambapo kwa mwaka wanahitaji mahindi ya njano zaidi ya tani milioni…
Makinda:Asilimia 93.45 za kaya Tanzania zimehesabiwa
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar Kamisaa wa Sensa ya Watu na Makazi 2022, Anne Makinda amesema hadi kufikia Jumatatu ya Agosti 29, 2022,asilimia 93.45 ya kaya zote Tanzania zimehesabiwa huku taarifa zilizokwishakusanywa zikionesha kuwa ni asilimia 6.55 za kaya bado hazijahesabiwa. Makinda…
Rais Samia kufungua kikao kazi cha Polisi
Jeshi la Polisi Tanzania lingependa kuwajulisha kuwa katika Shule ya Polisi Tanzania (TPS) iliyopo Moshi mkoa wa Kilimanjaro maarufu (CCP) kutafanyika kikao kazi cha Maafisa Wakuu waandamizi wa Makao Makuu, Makamanda wa Polisi Mikoa na Vikosi, kitakacho fanyika siku tatu…