Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
November 2, 2022
Kitaifa
Mwinyi apokea ripoti ya kamati kuhusu demokrasia ya vyama vingi
Jamhuri
Comments Off
on Mwinyi apokea ripoti ya kamati kuhusu demokrasia ya vyama vingi
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akipokea ripoti ya mapendekezo ya Kamati Maalum iliyojadili na kuchambua maoni ya washiriki wa Mkutano wa Wadau wa Demokrasia ya
Vyama vingi vya Siasa kutoka kwa Mwenyekiti wa kamati hiyo Dkt.Ali Ahmed Uki (kulia) hafla iliyofanyika leo Ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.[Picha na Ikulu] 02/11/2022.
Baadhi ya Waalikwa kutoka taasisi mbali mbali waliofadhili na kufanikisha
mkutano wa
Wadau wa Demokrasia ya
Vyama vingi vya Siasa,wakiwa katika hafla ya kukabidhi ripoti ya kamati maalun iliyofanyika leo Ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.[Picha na Ikulu] 02/11/2022.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi cheti Mhe.Vuai Ali Vuai kutoka CCM,
mjumbe wa Kamati Maalum ya kuchambua maoni ya washiriki wa mkutano wa
Wadau wa Demokrasia ya
Vyama vingi vya Siasa,katika hafla iliyofanyika leo Ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.[Picha na Ikulu] 02/11/2022
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi cheti Mhe.Jussa Ismail Ladhu kutoka ACT Wazalendo,
mjumbe wa Kamati Maalum ya kuchambua maoni ya washiriki wa mkutano wa
Wadau wa Demokrasia ya
Vyama vingi vya Siasa,katika hafla iliyofanyika leo Ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.[Picha na Ikulu] 02/11/2022.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi
akimkabidhi cheti Mhe.Balozi Dkt. Amina Salu Ali Makamu Mwenyekiti wa Kamati Maalum (kikosi kazi) katika hafla ya kukabidi ripoti ya mapendekezo ya Kamati hiyo iliyojadili na kuchambua maoni ya washiriki wa Mkutano wa Wadau wa Demokrasia ya
Vyama vingi vya Siasa kutoka kwa Mwenyekiti wa kamati hiyo Dkt.Ali Ahmed Uki (kulia) hafla iliyofanyika leo Ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.[Picha na Ikulu] 02/11/2022.
.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi cheti Mhe. Rukia Kassim Ahmed (kutoka CUF),
mjumbe wa Kamati Maalum ya kuchambua maoni ya washiriki wa mkutano wa
Wadau wa Demokrasia ya
Vyama vingi vya Siasa,katika hafla iliyofanyika leo Ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.[Picha na Ikulu] 02/11/2022.
Post Views:
125
Previous Post
“Watu bilioni 3.6 hatarini kuathiriwa na mabadiliko ya tabianchi duniani'
Next Post
Rais Samia afanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa China
Mbetto :Jussa acha matamshi ya kibaguzi Zanzibar
Dereva aliyesababisha ajali iliyoua watu nane akamatwa
WHI yatunukiwa tuzo ya nyumba za gharama nafuu zaidi Afrika
NEEC yadhamiria kuwainua kiuchumi wananchi kwa kutoa elimu ya kutambua fursa
Setilaiti iliyotengenezwa na Boeing yavunjika angani
Habari mpya
Mbetto :Jussa acha matamshi ya kibaguzi Zanzibar
Dereva aliyesababisha ajali iliyoua watu nane akamatwa
WHI yatunukiwa tuzo ya nyumba za gharama nafuu zaidi Afrika
NEEC yadhamiria kuwainua kiuchumi wananchi kwa kutoa elimu ya kutambua fursa
Setilaiti iliyotengenezwa na Boeing yavunjika angani
Geita yaupokea mradi wa bilioni 17 kusambaza umeme kwenye vitongoji 105
Kongamano la ARGe0-C10 kuongeza kasi uendelezaji jotoardhi Afrika Dk Mataragio
Urusi yafanya mashambulizi usiku kucha mjini Kyiv Ukraine
Profesa Mkumbo avutiwa na utendaji wa bandari ya Dar
FCS, LATRA CCC wasaini makubaliano kuimarisha ulinzi na haki ya walaji sekta ya usafiri ardhini
Mfumo wa PAIS kudhibiti migogoro baina wanyamapori na binadamu Babati
Waziri Bashungwa aongoza utiaji saini ujenzi wa daraja la Jangwani
GST kukamilisha upatikanaji wa ithibati vyungu kuyeyushia sampuli za dhahabu
Kamati ya Bunge yaridhishwa utendajikazi Wizara ya Nishati
Shule za Mbeya kufanyiwa ukarabati mkubwa, zitoe mazingira bora ya kujifunzia