JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Makamba akabidhiwa uenyekiti Mradi wa Rusumo wa kuzalisha umeme

Waziri wa Nishati,January Makamba, amekabidhiwa Uwenyekiti wa Baraza la Mawaziri wa Mradi wa Umeme wa Rusumo wa kuzalisha umeme kwa kutumia maji unaoshirikisha nchi tatu za Burundi, Rwanda na Tanzania. Waziri Makamba amekabidhiwa jukumu hilo wakati wa Mkutano wa 14…

NBS yaweka wazi Rais atakavyohojiwa siku ya Sensa

Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), imetangaza utaratibu ambao utatumika kuwahoji viongozi wa kitaifa wakiongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan, katika Sensa ya watu na makazi, Agosti 23, mwaka huu. Taarifa iliyotolewa na Mtakwimu Mkuu wa Serikali, Dk. Albina Chuwa,…