JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

Nchemba aziomba taasisi za dini kumuombea Rais Samia

Na Peter Haule, JamhuriMedia,Singida Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt.Mwigulu Lameck Nchemba ameziomba taasisi za dini kuendelea kumuombea Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan, ili aendelee kuiongoza nchi vizuri na kutimiza dira yake ya uwekezaji katika sekta ya uzalishaji, kutengeneza ajira,…

Wadaiwa kubakwa kwa ahadi ya kusafishwa nyota na mganga wa kienyeji

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Katavi Jeshi la Polisi Mkoa wa Katavi limemkamata na linamshikilia mzeee mmoja aliyefahamika kwa jina la Simbuka Makande (62), mganga wa kienyeji mkazi wa Kijiji cha Magengase Mkoa wa Tabora kwa tuhuma za kumbaka mwanamke ambaye ni mfanya…

Waziri akagua mradi wa kitalu cha miche ya mil.43/-

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii,Mary Masanja (Mb) amekagua mradi wa kitalu cha miche ya miti wenye thamani ya shilingi milioni 43 unaosimamiwa na Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) katika Wilaya ya Magu Mkoani Mwanza. Akizungumza leo katika…

Viongozi Kata ya Mchikichini watoa elimu ya Sensa

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar Naibu Spika wa Bunge la Tanzania Mussa Azan Zungu ambaye pia ni mbunge wa Ilala amewaasa Watanzania kushiriki kikamilifu Sensa ili kutimiza lengo la Serikali kupata takwimu za msingi za watu na hali za makazi ambazo…

Mrema alikuwa ni mwanasiasa aliyepitia machungu mengi

Na Happiness Katabazi,JamhuriMedia LEO asubuhi Agosti 2, 20221 nimepokea taarifa za kifo cha Mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Labour ( TLP), Augustine Lyatonga Mrema kuwa amefariki katika Hospital ya Taifa ya Muhimbili alikokuwa amelazwa tangu Agosti 16, mwaka huu kwa…

Sensa ya Makazi Agosti 23 tuhesabiwa wote kwa maendeleo

Sensa ya Watu na Makazi ni utaratibu wa kukusanya, kuchambua, kutathimini na kuchapisha na kusambaza takwimu za kidemographia, kiuchumi na kijamii kuhusiana na watu wote na makazi yao katika nchi kwa kipindi maalum. Kwa maana nyingine, sensa ni zoezi maalum…