JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kitaifa

MV Liemba yatenga bil.8.1/- kwa ujenzi wa meli mpya

Na Abdulrahman Salim,JamhuriMedia Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Kampuni ya Huduma za Meli (MSCL),Meja Jenerali Mst. John Mbungo amempongeza Rais wa Awamu ya Sita Samia Suluhu Hassan kwa kutenga Shilingi Bilioni 45.1 kwa ajili ya kujenga meli mpya pamoja na…

Watanzania watakiwa kuwa waaminifu

Na Aziza Nangwa,JamhuriMedia,Dar Balozi wa Tanzania Nchini Saudi Arabia Ali Mwadini amewataka watanzania kuwa waaminifu, katika ufanyaji biashara zinazoenda nje ya nchi.Mwandini amesema kama watanzania wanazingatia kuwa waaminifu katika biashara,ni wazi wataweza kumuhifadhi mteja wa bidhaa lakini ukimfanyia visivyo utampoteza….