Category: Kitaifa
Uingereza kuisaidia sekta ya afya nchini
Serikali ya Uingereza imesisitiza itahakikisha inasaidia sekta ya afya nchini ili wananchi wapate huduma bora hasa upande wa mama na mtoto. Balozi wa Uingereza David Concar alisema hayo, wakati wa kumbukumbu ya miaka 70 ya Utawala wa Malkia wa Uingereza…
Rais Samia atoa wito kwa viongozi wa nchi za Afrika
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa viongozi Wakuu wa nchi za Afrika wachukue hatua za makusudi katika udhibiti wa uvunaji na biashara haramu ya usafirishaji wa mazao ya misitu. Rais Samia Suluhu Hassan ametoa wito huo kupitia Hotuba iliyosomwa…
Prof. Mbarawa: Serikali inafanya uboreshaji wa bandari
Serikali kupitia Mamlaka ya Bandari Tanzania imeendelea kusimamia bandari za mwambao na maziwa makuu kwa kufanya uboreshaji ikiwemo kuongeza kina kikubwa ili kuweza kuruhusu Meli za Kisasa kuingia. Akizungumza na jijini Dar es salaam Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Profesa…
Benki Kuu yatakiwa kuhamasisha wananchi kuwekeza
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Mbeya NAIBU Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Dkt. Yamungu Kayandabila, ameitaka BoT kuongeza uhamasishaji kwa wananchi wa Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, pamoja na shughuli zingine za kilimo, kuwekeza katika dhamana za serikali. Dkt. Kayandabila…
Tanzania,Namibia zaweka mikakati ya kukuza sekta ya biashara
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Balozi wa Namibia Nchini Tanzania Lebbius Tangeni Tobias,amefanya ziara rasmi ya kikazi katika Chemba ya Biashra, Viwanda na Kilimo Tanzania (TCCIA), na kupokelewa na mwenyeji wake Rais wa Chemba hiyo, Paul Koyi katika ofisi za Makao Makuu…