Category: Kitaifa
TPA: Maonesho ya kilimo Nanenane ni muhimu kwa taasisi
Na Mwandishi Wetu,Jamhurimedia,Mbeya Maonesho ya Kilimo ya Nanenane 2022 yanayofanyika kitaifa kwenye viwanja vya John Mwakangale Jijini Mbeyayametoa fursa kwa Taasisi mbalimbali kukutana na wananchi hususani wakazi wa Mkoa wa Mbeya na mikoa ya jirani ya iliyopo Nyanda za Juu…
Treni binafsi za mizigo zatumia reli ya TAZARA ubebaji mizigo
Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia TAZARA ni kampuni ambayo inafanya usafirishaji wa mzigo kupitia mpaka wa Tunduma mkoani Songwe ambapo Zambia na DRC Congo ndiyo zenye kutumia kwa kiwango kikubwa reli ya Tanzania kwa kubeba mzigo yake mingi…
Chongolo ahitimisha ziara kwa kutoa maelekezo 10 Serikalini
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi, (CCM) Ndugu Daniel Chongolo amehitimisha ziara ya siku nne mkoani Kilimanjaro, katika Wilaya ya Same, amehitimisha ziara, ambapo katika ziara hiyo pamoja na kuhamasisha Sensa ya Watu na Makazi, Uhai na uimara wa Chama…
Rais Dkt.Mwinyi awapa neno wana CCM nchini
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt.Hussein Ali Mwinyi amewataka wanachama wa CCM kuchagua viongozi makini watakaoweza kukivusha chama hicho katika Uchaguzi Mkuu ujao wa…