Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
October 12, 2022
Kitaifa
Spika Tulia afanya mazungumzo na Spika wa Bunge la Korea Kusini
Jamhuri
Comments Off
on Spika Tulia afanya mazungumzo na Spika wa Bunge la Korea Kusini
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia Ackson akimpatia zawadi yenye mfano wa jengo la Bunge Spika wa Bunge la Korea Kusini, Jin Pyo Kim tukio lililofanyika katika ofisi ndogo za Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Kigali (KCC) Nchini Rwanda leo tarehe 12 Oktoba, 2022 wakati wa Mkutano wa 145 wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) unaoendelea nchini humo.
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia Ackson akizungumza na Spika wa Bunge la Korea Kusini, Jin Pyo Kim katika ofisi ndogo za Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Kigali (KCC) Nchini Rwanda leo tarehe 12 Oktoba, 2022 wakati wa Mkutano wa 145 wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) unaoendelea nchini humo.
Mhe. Spika ameambatana na Wabunge wa Bunge la Tanzania ambao ni Wawakilishi katika Umoja huo.
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akiagana na Spika wa Bunge la Korea Kusini, Mhe. Jin Pyo Kim baada ya mazungumzo yaliyofanyika katika ofisi ndogo za Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Kigali (KCC) Nchini Rwanda leo tarehe 12 Oktoba, 2022 wakati wa Mkutano wa 145 wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) unaoendelea nchini humo.
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia Ackson, akizungumza na Spika wa Baraza la Wawakilishi la Jamhuri ya Indonesia, Dkt. Puan Maharani walipokutana katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Kigali (KCC) nchini Rwanda leo tarehe 12 Oktoba, 2022 wakati wa Mkutano wa 145 wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) unaoendelea nchini humo.
(PICHA NA OFISI YA BUNGE)
Post Views:
193
Previous Post
Rais kupokea na kuzindua chuo cha VETA Kagera
Next Post
Prof Makubi:Bima ya afya inatoa fursa ya kutibiwa hospitali yoyote unayoitaka
Mbetto :Jussa acha matamshi ya kibaguzi Zanzibar
Dereva aliyesababisha ajali iliyoua watu nane akamatwa
WHI yatunukiwa tuzo ya nyumba za gharama nafuu zaidi Afrika
NEEC yadhamiria kuwainua kiuchumi wananchi kwa kutoa elimu ya kutambua fursa
Setilaiti iliyotengenezwa na Boeing yavunjika angani
Habari mpya
Mbetto :Jussa acha matamshi ya kibaguzi Zanzibar
Dereva aliyesababisha ajali iliyoua watu nane akamatwa
WHI yatunukiwa tuzo ya nyumba za gharama nafuu zaidi Afrika
NEEC yadhamiria kuwainua kiuchumi wananchi kwa kutoa elimu ya kutambua fursa
Setilaiti iliyotengenezwa na Boeing yavunjika angani
Geita yaupokea mradi wa bilioni 17 kusambaza umeme kwenye vitongoji 105
Kongamano la ARGe0-C10 kuongeza kasi uendelezaji jotoardhi Afrika Dk Mataragio
Urusi yafanya mashambulizi usiku kucha mjini Kyiv Ukraine
Profesa Mkumbo avutiwa na utendaji wa bandari ya Dar
FCS, LATRA CCC wasaini makubaliano kuimarisha ulinzi na haki ya walaji sekta ya usafiri ardhini
Mfumo wa PAIS kudhibiti migogoro baina wanyamapori na binadamu Babati
Waziri Bashungwa aongoza utiaji saini ujenzi wa daraja la Jangwani
GST kukamilisha upatikanaji wa ithibati vyungu kuyeyushia sampuli za dhahabu
Kamati ya Bunge yaridhishwa utendajikazi Wizara ya Nishati
Shule za Mbeya kufanyiwa ukarabati mkubwa, zitoe mazingira bora ya kujifunzia